Search results

  1. Rabiel

    Bachelor of Arts with Education vs Bachelor of Education

    mbona wakubwa wamegoma kuleta hizo silabasi
  2. Rabiel

    Msaada kuhusu kuangalia loan status HESLB

    bora na wewe umeona hyo issue,mimi sio kuandika nimecopy na kupest still haitaki,but i think ni kwa sababu muda wa kuchek haujafika koz mimi mwanzoni kabsa baada ya kutuma maombi niliingia kwenye loan status na ilikubali lakin baada ya muda ikakataa. so muda ukifka itakubali
  3. Rabiel

    Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

    nashukuru sana kwa msaada wako wa ushauri
  4. Rabiel

    Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

    NIMEOMBA NDO TUNASIKILIZIA HIVI KUNA UWEZEKANO WA POINTS ZANGU NIKAKOSA CHUO ROUND YA KWANZA NA JE HUWA MAJINA YA ROUND YA KWANZA YANATOKA LINI
  5. Rabiel

    Kuelekea kufungwa kwa usaili NACTE 13/08/2016, mwenye ufahamu naomba anitoe wasiwasi katika hili

    ndugu kwani kuna sehemu ya kuatach vyeti na mbona hakuna sehemu inayoonesha certificate attachment., msaada tafadhali
  6. Rabiel

    TCU vipi Diploma Guidebook?

    SIO WOTE WALIO APPLY THROUGH NACTE
  7. Rabiel

    TCU vipi Diploma Guidebook?

    CHA MUHIMU NDUGU ZANGU NI KUANDAA HIZO FEDHA. INAONESHA KUNA MAMBO HAYAJAKAA SAWA,SERIKALI SIO WENDAWAZIMU KIHIVYO, INAWEZA SYSTEM IKAFUNGULIWA THEN IKAZINGUA,SO TULIE TU,MAMBO YATAKUA MAZURI. JAPOKUA INAKATISHA TAMAA BUT CHA MUHIMU NI KUANDAA HYO 50 ILI IKIFUNGULIWA TU UNAFANYA YAKO
  8. Rabiel

    Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

    Watu wengi wana tabia ya kukoroma wanapolala, lakini kukoroma siyo kuzuri sana kwani familia yako pengine ishindwe kupata usingizi vizuri kutokana na makelele. ulnayoyatengeneza na kwa upande mwingine, kukoroma kunamaanisha kuwa pumzi zako haziko sawa, hata baadhi ya wakati kukoroma kunaweza...
  9. Rabiel

    Hivi ukibadili priority ya vyuo, mbona idadi ya competition ya wanafunzi haibadliki?

    mimi nimebadili jana imechanga idadi ya watu japo niliapply toka siku ya kwanza
  10. Rabiel

    Sasa masomo ya sayansi lazima sekondari, utaratibu wa kuchagua masomo kidato cha tatu haupo tena

    SERIKALI imetangaza mwongozo mpya kuwa kuanzia sasa masomo ya sayansi ni lazima kusomwa na wanafunzi wote wanaosoma elimu ya sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne. Kwa mujibu wa Sera ya Elimu iliyopo, wanafunzi wanaosoma elimu ya sekondari wanaweza kuchagua aina ya masomo watakayo...
  11. Rabiel

    Msaada wa kimawazo kufikia malengo yangu ya kielimu

    dah cjui itakuaje but kuna koz zngne ukisoma hufungwi kwamba usome hyo hyo degree,ngoja wajua waje wakusaidie ndugu
  12. Rabiel

    Msaada: M-pesa Confimation code inakataa NACTE

    m nilimfanyia ndug yangu nlikaa kama dakka 10 ikakubali
  13. Rabiel

    Kwa vigezo hivi huenda tukakosa wanasayansi

    AISEE NAMISHANGAA SANA KILA MTU ANASOMA KILE ANACHOKIWEZA VIPI UANZE LAWAMA. ACHENI HABARI ZA KUONA DAKTAR N BORA KULIKO MWANASHERIA. WOTE WANATEGEMEANA. NAOMBA TU MSIJIDHALILISHE KUA NYIE N BOGUS, MBONA KUA WANAOPATA ONE,VIP WE USHINDWE KUIPATA.
Back
Top Bottom