WanaJF, naomba msaada kwa ajuaye
Nilichimba kisima nikajaza maji ya mvua mwezi Dec. Jana nimeyatest maji ni machungu kama yana mchunga.
Sio chumvi, wala magadi ila yana Uchungu na hayafai kwa mtumizi.
Kiresua
Someni kwanza hii official document kabla ya kutoa mtizano wowote. Tusikwazwe na upepo wa mitandao
https://rorate-caeli.blogspot.com/2023/12/fiducia-suplicans-dicastery-for.html?m=1
Naomba msaada namna ya kuomba maombi ya leseni ya chombo cha usafiri (Gari ya mizigo), nikijaribu naambiwa niweke taarifa za Afisa Usafirishaji. Sielewi niweke taarifa gani.
Naombeni msaada waheshimiwa.
Asanteni.
Mm niko Morogoro, niliomba umeme tr 28 Apri 22, nikafungiwa tar 14 may 2022. Nilifuata taratibu kama kawaida sikutoa chochote na wala sikumjua yeyote. Nilihitaji nguzo 2 na things went on very well and efficiently.
Internet ya hawanjamaa haiko vibaya sana mpaka vijijini nastreem seheme ambayo mitandao mingine haipatikani.
Ila ukweli wako nyuma kimasoko hii ndo shida ya serikali kufanya biashara. Wasubiri ruzuku hazina ndo wafanye kazi wakati wenzao nimkupress tu button ela ya kazi inapatikana
Mdogo wangu ameibiwa sim jana saa 12 jioni akablock namba jana hiyo hiyo leo anakwenda kurenew namba anaambiwa salio lilishahama tangu saa 10:09.
Muda huu alikuwa na sim yake. sasa tunashindwa kujua hela alioa nani..... any one can help? na ni hela nyingi sana...
Msaada tafadhali
Wana JF,
Kwa muda sasa nimekuwa niki-observe trend kwenye makampuni ya simu kila unapotuma fedha unakatwa kiasi fulani licha ya hela ya kutolea anayokatwa. Mfano Airtel inaita convenience fee.
Kwa mwenye uelewa atusaidie ufafanuzi
Nilipia service ya kupata Luku ya 3 phace tangu tar 27 march 2019 mpaka leo nazungushwa tu. nimefualitlia mpaka kwa meneja bado hawajaonekana kuwa masaada. Nimepata hasara kwani imenibindi niweke Mlinzi kulinda moundombinu niliyoisimika ambayo haizalishi.... please tuambie nini kinaendelea. na...
Ndugu wewe ni muhifadhi? Kama sio acha KBS kuleta hoja usizozijua. Ingawa la Nyalandu silijui ila nataka kutoa hoja hapa. Private -Public-Partnership ni modal ambayo inayotrend kwa sasa. Ni modal inayotakiwa kuweka chachu ktk ukuaji wa uchumi na kuborsha huduma kwa jamii. Hatujawahi kuwa...
Mkuu ungemuuliza tu akufafanulia. Ika
Training ya watu 300/ilianza tr za mwanzo za mwezi huu, kwa batch ya pili 100 ambao watalipa 130 itaanza next week tr 2. So that's how I understand.
mkuu tulishanzisha ikagoma.... tilichanga hela tukawa na ofs nzuri sana hapo kinondoni tukafanya parttion tukasajili ikakomea padogo sana watu kwenye vikao hawaji tukaaamua kukubaliana kuwa tumeshindwa.... kaka kiiza, nampesia, nawengine..... ikashindikana bana
heheh nacheka sana,
mnakumbuka kipindi cha nyuma kulikuwa na allegations nyingi sana kuhusu clergy men on sexual harassment? mnajua kwanini zilipungua gafla na zikawa hazisikiki kabisa kwa muda?? by then kanisa lilikuwa responsible na offence zote zilizofanywa na watawa na makasisi wake, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.