Act migebuka mnacheza ligi za mchangani sijaona mtoto anamwambia baba yake kuwa Baba unaniiga ni ulimbukeni wa siasa mlizo IGA kwa kiongozi wenu mkuu aliye na sauti kumshinda mwenyekiti wake
Zitto kwishney kiki aliyokuwa akiipata akiwa chadema sasa hivi haipati tena chezea usaliti wewe anachezea ligi ya mchangani sasa hivi MTU wa kigoma anayejielewa hawezi kuwa ACT.
Hakuna wabaguzi kama nyie wavaa suruali fupi ,mpaka papa akalalamika kwanini wakristo wake walioko saudia wapatao mil moja hawaruhusiwi kuvaa kitu chochote kinachomjulisha ni mkiristo?na amewajengea kanisa kubwa la karibu $7milion lakini nyinyi misikiti kwao mnajenga bila wasiwasi wowote ule.
Ndugu yangu nenda ukiwa plan B ya kwamba unaenda na ukifika huko utakuwa mgeni mf. Utakuwa kama MTU uliyetekwa ,mateka, na wenyewe ndio watakaokuongoza kama wenyeji wako kwa hiyo lazima ufate masherti yao jinsi watakavyotaka hukatai na ugeni ukigeuka huku na huku sura nyeupe tupu lazima utoe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.