Botha Kaburu yule South Africa, alishasema, Mtu mweusi akili yote ipo kwenye ngono; si unaona hapo, kila mtu anaamini hata wenye elimu! Hawezi kuua kwa nini!
Ahsante sana, kumbe kuna watu wenye busara kama wewe wapo nchini, wewe ni IQ kubwa, hao wanaobisha wana usiwalaumu ndiyo kikomo chao. Hawa watu huwa hawajui kuwa hata hao wazungu 90% hawajui neno Tanzania. Muulize Trump neno Tanzania wala hawezi kupoteza muda. Kuna watu wana vichaa hizi nchi...
FACT CHECK:
Hizi pesa zilizuiwa kwenye awamu ya Nne na siyo ya TANO; kwa sababu ya kukataa ushoga. Pekua files siyo kuandika tu mnajiaibisha kuandika Habari bila ya usahihi.
Ngoswe usilaumu huyo mkandarasi tu, ilaumu serikali, hao ndiyo wasimamisi wa hiyo kazi. Yaani Tanrod, kwa nini hawachukuliwi hatua? Kwa nini hawafungwi, na nyie wananchi kwa nini hamkwenda kuwashitaki? Sheria Mbovu
Wakandarasi wa nje 574, biashara nzuri hii, halafu unataka Watanzania ambao hata pesa na incentives wa-compete? Kweli serikali na hata marais wake na mawaziri tutaquetion kama IQ zao zipo sawa. Hasa MaRais. Afadhali Nyerere alikuwa na MEECO, sijui nani aliua MECOna kwa manufaa gani.
Mtibeli siyo kuwa serikali ikiwa na sheria makini ndiyo na watoto wanakuwa na malezi mazuri? Tabia ya mtoto inaanzia tangu anspozaliwa na inategemea sana vilevile na ndoa ya wazazi. Single mothers/fathers, sheria za ndoa. Unategemeaje ndoa za wake wengi kuwa na watoto wenye malezi mema?
Halafu...
Huyu ni mzushi wala hajui anafundisha nini. Hajui historia ya dini. Hata Israel haikuwepo. Eneo lote hilo lilikuwa linaitwa Paletina.
Jordan kwenye msambalatiko wa Palestina ilichukua eneo, Syria, na Egypt. Huko rahisi kutatua. Pagumu hapa Israeli
Hamna indigenous hapo, waulize makaburi ya babu zao, wote wako Poland, Argentina, Ukraine, Russia, Slovakia etc etc
Haya makabila ya biblical times siyo hawa. Ujue 00 AD Yesu anazaliwa hadi 570 AD ndiyo kaja Mohamed hapo katikati vita ngapi zilipigwa Makabila kwa makabila? Palikua na Judaism na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.