Habari za leo Wakuu!
Naomba kufahamu naweza kupata wapi kitabu cha "Juma na Roza" ili watoto wangu nao wafaidi hadithi zake. Nipo Dar kwa sasa.
Jumapili njema.
Wakuu habari ya jumamosi? nimedunduliza fedha kwa kujibana sana, na zimefika milioni 20!!! kesho napanda basi naenda "Darisalama" kununua gari. Naomba ushauri yard gani inauza gari nzuri, mie napenda niendeshe GX 110. Pia hotel gani itanifaa kupunga upepo wa baharini na maeneo ya kujinafasi ni...
Two women go out one weekend without their husbands. As they came back, just before dawn, both of them drunk, they felt the urge to pee. They noticed that the only place to stop was a cemetery. Scared and drunk, they stopped and decided to go there anyway.
The first one did not have anything...
Mnaalikwa kuhudhuria sherehe ya Valentine day kuanzia saa 12 jioni hadi utakapozimika, pale ETTIENE BAR. Chakula ni mbuzi na ng'ombe wa kuchoma, vinywaji aina zote vitakuwepo. Waalikwa ni member wa JF wenye cheo/title cha senior expert member na premium member tu. Ruksa kuja na mpenzi wako. Kwa...
Wakuu habari zenu?
Naomba kuuliza hivi huyu JAKSON MAKWETA bado ni mbunge? Sijamsikia muda sasa,nakumbuka aliomba kipindi cha kwanza cha JK amalizie,mwenye taarifa naomba anijuze.
Wakuu JF,
Mimi binafsi napenda kunywa bia, naomba kufahamu kwa wale wanywaji hivi utamu na radha ya bia unaweza kuupata katika starehe zingine? kwangu mimi naona hapana! haswa ukinywa windhoek bariiiidi...!!!hebu wakuu kila mmoja aseme bia ipi tamu na kwa nini??? Merry X-mas to all watumiaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.