Hawawezi wakakwambia mana imekuwa aibu kwao na kuusema ukweli sasa kwao ni kama kujipiga na ncha ya upanga shingoni. Acha mwamba alale hajaacha Deni kwa Watanganyika
Mzee Vipi? Indonesia [emoji1129] nayo ipo katika Zile Tiger countries kweli? Au ni nchi inayoongoza kwa idadi kubwa ya Waumini wa Iman ya Kiislam basi. Tiger countries ni Taiwan, South Korea, Hong Kong and Singapore hizo zingine bado bhana, acha kujichetua
Mzazi wa Paul Makonda (DB) ni nani na amewahi hudumu katika nafasi ipi ya uongozi wa hii nchi na ndani ya CCM mpk useme kupata madaraka lazima mzazi wako awe ameshika hatamu ya uongozi wa juu? Orodha ni ndefu, ungana nao ule matawi ya juu!
Mkuu kumbariki shoga au msagaji yeye na mali yake haina tofaut na kubarik tu ndoa za jinsia moja. Huwa kauli za hivi zinaanzaga afu zinapitishwa zingine nzito. Kwa mkitadha wa Ulaya iyo kauli ya “Baba Mtakatifu” ndo imetoka ila kwetu Afrika inatakiwa kupingwa kwa nguvu kubwa mana sio maadili...
Sasa huyo Tido ana maadili gani? Unaujua mkataba wa TBC na Startimes ulivyokuwa wa kihuni na upigaji? Alieusain c ndo huyo huyo Mhando wako, unajua alipewa nini? Mengine muwe mnayamaza mana uchafu wa mtu uujui ukiujua utamkimbia.
Successors wake wamebadili nini ama wameleta fundamental changing zipi? Hata Yule wa Kizimkazi ndo kazidi kuididimiza ft 12 Tanganyika bado humlaumu unabaki kubweka kama koko badala uangalie Ndio tuliwahi jikwaa so what? Leta solution sio kufungua pages zilizopita akati zilizopo huzisomi...
Akiwa Au asiwe hana impact yoyote kwenye maisha yetu sisi waTanzania. Hata sasa anainfluence gani kwenye maisha yetu sisi? By the way we ndo unaemfaham lakin am sure 98% ya waTanzania hawamjui kabsaa, zaidi ukifika pale Mhimbili ukachajiwa hela (1000) ya kuingiza Gari ndani ndo utaelewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.