Masaihost
WE PROFESSIONAL WEB HOSTING SOLUTION FOR ANY BUSINESS NEEDS. For Only TZS 75,000
*Features
Domain Name (.co.tz)
Control Panel
40GB storage
40GB Data Traffic
50 Email Accounts
PHP & MySQL
Free SSL Certificate
Full Tech Support
Tel: +255767659145
TUNAUZA VIFARANGA WA KUKU CHOTARA AINA YA KROILA, BEI SH 1,500
WANAPATIKANA KILA WIKI
UMRI: SIKU 2
CHANJO: MAREK'S
TUPO KAHAMA, TUNASAMBAZA MAENEO YOTE KATIKA MIKOA YA KANDA YA ZIWA
0767659145
0620246040
0787659145
Tunatoa huduma ya web hosting na domain registration
Bei ni Sh 75,000 kwa mwaka
Features:
99% uptime guarantee
Domain name
cPanel
10GB disk space
20GB monthly traffic
Unlimited email accounts
5 MySQL databases
SSL certificate
Automatic backup
Contact: 0767659145, 0620246040
Email...
Tunatoa huduma ya kutotolesha (kuatamisha) mayai ya kuku, kanga, bata
Bei:
Sh 500 mayai ya kuku
Sh 700 mayai ya kanga na bata
Tupo Lugela, Kahama
0767659145
0620246040
0787659145
Jana niliangalia habari ITV, mamlaka inayohusika na sensa wameripoti uwepo wa tovuti bandia ya sensatanzania.com inayotapeli watu kwa kutangaza ajira, na wakasema wamesharipoti TCRA.
Lakini nimebaki nashangaa ni kwa vipi TCRA au pamoja na mamlaka nyingine za Serikali hawajaweza kushusha hio...
Halotel ambao waliingia kwenye soko na kufanya mapinduzi kwa kutoa kasi kubwa ya Internet sambamba na bei nafuu kuliko watoa huduma wote waliowakuta, hatimaye wameshindwa kuendelea kutoa huduma hiyo kwa ufanisi.
Inawezekana mteja asiye makini akaendelea tu kusema Halotel wana bei nafuu za...
Kwa wamiliki wa vituo vya Radio wanaohitaji Live Radio streaming
Ninatoa Radio streaming service @ 128Kbps kwa Sh 100,000 tu kwa mwezi
*Radio itapatikana kwenye Tune-in, streema.com na embeded player tunaweka kwenye website ya radio yako
*Ikiwa huna website nina design na kusajili website kwa...
I'm well experienced, reliable and affordable IT expert, Able to attend calls and work anywhere inside and outside Tanzania.
My customers are Organizations, Institutions, Businesses and Private individuals.
You can hire me for one time job or long term contract
I'm specialized in the...
Ninafanya mradi wa kununua na kuchakata mawe ya madini ya dhahabu katika mgodi wa Mwime wilayani Kahama
Katika kutafuta kukuza mradi, ninahitaji kupata mshirika tutakaeshirikiana ili kuweza kukusanya udongo wa kutosha kwa ajili ya CARBON PLANT (lundo kwa ajili ya planti ya marudio)
Mwenye nia...
Kadri hatari ya Corona inavyozidi kuongezeka inatubidi kutafuta kila taarifa za kitaalamu kujua namna sahihi tunavyoweza kujikinga
Binafsi kuanzia siku ya leo nimeshuhudia watu wameanza kutumia mask kuziba mdomo na pua, lakini katika hali ya kawaida nimetafakari sana kama kweli kufanya hivyo...
Nauza samaki sangara wabichi toka Mwanza kwa bei ya jumla kwa wenye mabucha na wahitaji wengine walio Dar na maeneo jirani.
Kiwango ni kuanzia kilo 100 kuendelea.
Bei ni sh 6,500/= kwa Kilo
Malipo ni tunapokufikishia mzigo
Simu/Whatsapp: 0767659145
Simu: 0787659145
Simu: 0620246040...
Inauzwa: Nyumba kubwa ya kuishi, iko kwenye kiwanja kikubwa cha square meters 2,539 (surveyed area)
Mahali ilipo: Wilaya ya Ilemela, Busweru, Mwanza (Kilomita 2 kutoka ofisi za halmashauri ya Ilemela)
Vilivyomo:
vyumba vinne vya kulala, (master bedroom 1 na vyumba vitatu)
Sitting & Dining...
Tunatengeneza website kwa ajili ya aina yoyote ya biashara unayohitaji.
Bei ni Sh 95,000 tu na hakuna gharama zilizojificha (No hidden costs)
Tupo Mwanza, Tanzania na tutakuhudumia ukiwa kokote, unachohitaji ni kutuma contents za website yako kwa Email na tutafanya kazi yako kwenye sub-domain...
Tunazalisha na kuuza vifaranga wa kuku chotara aina ya kuloiler
Vifaranga wanapatikana mara mbili kila mwezi na wanakua wameshapatiwa chanjo ya Mareks
Tupo Busweru, Mwanza
tunasafirisha kwenda maeneo jirani kama Shinyanga, Nzega, Musoma, Geita, Sengerema, Magu nk
Bei za vifaranga:
Umri wa...
Tunatengeneza, tunasajili na ku host website kwa Tsh 170,000 tu ($80). Hii inahusisha ku design, kusajili domain na hosting
Tunazo design samples nyingi tulizokwishafanya na tunakamilisha kazi kwa muda wa siku mbili tu.
Tembelea tovuti yetu WEB SOLUTIONS - Cheapest web hosting and web...
Ninasafirisha na kuuza (bei ya jumla) samaki aina ya sangara kutoka mwanza kwenda mikoa ya Shinyanga, Singida, Dodoma, Morogoro na Dar es salaam
Bei ni Sh 5,500 kwa kilo
Kiwango cha chini kuuza ni kilo 100 na kuendelea
Oda inachukua wiki moja kukufikia
Malipo yanafanyika tasilimu (cash)...
Nauza kuku chotara wako 130.
Wana umri wa miezi mnne, wanaelekea muda wa kuanza kutaga.
Kuku wako mwanza na ninawauza haraka kwa sababu nahitaji kuhama
Wanafaa kwa kufuga au kula, bei sh 15,000 kila mmoja
Simu/SMS/Whatsapp 0767659145
Email: alphonce@alphonce.net
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.