Kiwanja chenye ukubwa wa 1242m² kinauzwa maeneo ya Lukobe Morogoro Manispaa, kipo jirani na barabara kimepimwa na kulipiwa ada zote. Bei Tsh 6,000 000. Piga +255754202507 kwa maelezo zaidi
Toyota Raum 2004 inauzwa bei 8.7m NEGOTIABLE.
Milage 128,000, inatembea, haina tatizo lolote, mifumo yote inafanya kazi, kiyoyozi kipo sawa, vibali vyote vimelipiwa.
Lipo Morogoro Manispaa. Kwa maelezo au picha zaidi
pm au call/text 0715822249
(PICHA ZINASHINDWA KU-UPLOAD)
Y.O.M: 2002, Milage: 137,011 PRICE: 8,500,000/ TZS NEGOATIABLE
All taxes paid, comprehensive insurance
Well maintained, running, single user (lady), within MOROGORO​ Municipality. CASH AND DRIVE
Just call 0715822249 / 0713566009
SOLD, THANKS ALL!
Baadhi ya shabiki wa Young Africans kutoka Dar baada ya mechi wakiwa njiani kurudi makwao walizua tafrani njia panda Bigwa, barabara ya zamani ya Dar na kusababisha usumbufu na uharibifu kwa raia na mali zao.
Kadhia hiyo ilitokea baada ya shabiki hao kushuka kwenye magari yao na kuanza vurugu...
Wanajamii, nilipita maeneo ya Maliti vijijini baada ya Kibaigwa na kukuta hali sio nzuri. Hali iliyopo kati ya wakulima na wafugaji sio nzuri kwani kuna mauaji ya kutisha yanaendelea. Watu wanauawa kwa Kupigwa mishale, wakulima wamekimbia makazi yao kwa hofu ya kuuawa. Pia inadaiwa ng'ombe wengi...
Kiwanja ni nusu heka, kuna frem tatu mbele za maduka, kuna msingi wa fremu tatu pembeni mbele, kuna banda nyuma lenye vyumba viwili limeishia kwenye linta, kuna kiwanja kinabaki kinaweza kujenga nyumba kubwa moja au mbili, kipo barabarani karibu na Kunduchi Beach Hotel, pembeni imepakana na...
Wanajamii naomba mwenye kujua bei (market value) ya viwanja, kama nusu ekari maeneo ya Kunduchi karibu na Kunduchi Beach Hotel anijuze tafadhali. Niko mbali kidogo kupata Land valuer. Asanteni.
Kama unakidhi vigezo usichelewe. Bofya hizo links tatu kuona unapofit.
HManager-Legl Services Section, Manager-Information and Communication Technology Section, Manager Ministerial Delivery Units, Senior Analyst, Analyst, Executive Assistant to Chief Axecutive Officer, Personal Assistant...
Kuna gari limeharibika mizani Kibaha na kuziba njia ya kuja/kutoka Dar. Ambao mnapanga kuelekea njia hii mnashauriwa kuchukua tahadhari.
Sahihisho: foleni imetokana na dreva wa malori kugoma kupandishiwa ushuru wa kupima - mizani, wakaamua kuzima magari yao na kuyaacha/ kuyatelekeza barabarani.
Mabomu ya machozi yanapigwa hapa G/mboto, baada ya wanafunzi wa shule ya msingi kufunga barabara wakishinikiza kuwekwa tuta, kwa madai ya kugongwa mwenzao.
Bomu la kulipuka halipigwi picha!
Wanabodi, naomba kujuzwa mwenye kufahamu hiyo namba ya simu hapo juu ni ya "owner" gani, maana nakuta 'missed calls' na nikiita simu ina-hang up baada ya tone ya kuinganishwa! so cannot call back. Shukran.
Nyumba ya vyumba 4 inapangishwa maeneo ha Kigurunyembe. Ina vyumba self c 2, jiko, sebule, dining hall, etc. umeme na maji vipo. Bei 200,000 tsh. kwa mwezi x miezi 6.
pm kwa maelezo zaidi.
Wanabodi,
Gari tajwa hapo juu linahitajika asap,
milage: <80'000 km
budget: 8-9m
color: preferably NOT white
be in good condition
Tuma PM kwa mawasiliano zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.