Kwa mtizamo wangu umetoa maoni yako. Kama imeripotiwa kuw amekuja kwenye kikao cha kamati kuu, wewe ukasema ameishiwa hoja, hapo tujadili nini? Tujadili kauli yako au taarifa sahihi kutoka CHADEMA?
Ok I agree with you Jatropha. Pia tuendeleze kampeni ya mtu kwa mtu. Niliisha wahi kusema kila mmoja wetu amshawishi na kumwelimisha kila ndugu, jamaa na rafiki ili amchague Dr. Slaa, nchi yetu ikombolewe. Amina. Endeleza mapambano; Tuikomboa nchi yetu mikononi mwa maadui, MAFIDADI NA CHAMA CHAO.
Naona wana JF wengi wanadai Moshi ndo kuna mizizi, Mwanza je ilikuwaje? Mmesahau? Mara? ni kila mahali. Hata kura watampa tatizo litakuwa Uchahachuaji wa CCM
Nani kamwambia JF ni ya Chadema? Mbona watu wanachangia kwa uhuru? Tatizo ni kuwa CCM hawataki kukubali kuwa wananchi wamewachoka. Kwa akili zangu, nawashangaa wale wanaoshabikia wizi, ufisadi, na unayanganyi wa mali za umma. Mimi mwenyewe ni mwanachama wa CCM lakini ninakerwa na matendo yao. Na...
Ndugu zangu Akina kinana wanatia kinyaa. Malengo yao ni kuhakikisha nchi hii inamilikiwa na wachache wenye elimu bora na wale wenzangu ambao wana uchumi mbovu, wafilie mbali au kuendelea kuwa mbumbumbu.
Katika gazeti la Mwanahalisi uk.2 kuna malipo ya CCM kwa serikali kutokana na kukodi nduge...
katika gazeti la MwanaHALISI Uk. 2 imeonesha kuwa malipo yanayodaiwa kufanywa na CCM kwa serikali kutokana na kukodi ndege ya serikali kufanya kampeni yana warakini. ... kwenye hati ya madai ya tarehe 14 septemba 2010, ... imeonesha kuwa Kasma (vote) inayotawala fedha hizo ni no. 062 wakati voti...
Nadhani wote tunajua ni kwanini CCM wanafanya hivyo. Main principles za CCM ni
1. Make people Blind!! Not to see what is going on in this country
2. Provide Low quality Education to minimise challenges
3. Make many people poor so that they get used to the problems
4. Scare people so that they...
Lilikuwa linaendelea mpaka lini, tunaweza kuwauliza Policy Forum. Siku ya Ijumaa wiki hii, watakuwa na Breakfast debate pale British Council kuanzia saa moja na nusu asubuhi mpaka saa tatu na nusu assubuhi, Hapo tunaweza kupata jibu sahihi. Kwaa anayetaka kuhudhuria fuata hii link hii...
Zaidi ya hayo katiba yetu inaruhusu Mtanzania kugombea urais siyo zaidi ya mara mbili. Lakini haisemi kuwa lazima vipindi vifuatane. Ok? Kwa hiyo Kikwete angeenda Londan, St. Thomas akatibiwa kwa utulivu akiishapona, arejee by then itakuwa ni 2015. Hapo atagombea tena. Kama wa Tz wataona kuwa...
kwa hali ilivyo, CCm hawawezi kushinda bali wanaweza kutangaza washindi. Ndiyo maana wanasomba watu ili waonekane kuwa watu wako wengi maana siku wakiiba kura, watu wakija juu, waweze waseme unaona mahudhurio ya wananchi katika mikutano yetu? Lakini wote tunajua janja ya nyani kula mahindi...
Hata wale wanaoruhusu kuingiza bidhaa feki ikiwemo maziwa Feki. wote hao wanatakiwa watafutwe na kuadhibiwa vikali sana. Makosa hayo yote yanatokana na very poor system put in place by CCM (Chama Cha Mafisadi). Tanzania Haiwezi kuendelea CCM ikiwa Madarakani. Hiyo ni True :confused2:
Katika Kampeni za sasa, ni chama gani kimesema kikiingia madarakani kitawasamehe wale "wadaiwa wa serikali" wa mikopo ya elimu ya juu? Ingekuwa ni hit kubwa.
Jibaba, hapo umenena. Sasa nani anaweza kutudokeza namna gani tulinde kura zetu ili Mh. Dr. Slaa atangazwe mshindi kwa kura zetu??
Ni muhimu tuwe na mkakati mapema iwezekanavyo.
Hizi zinaweza kuwa True. Lakini ingekuwa vizuri kama angetupatia source. Mimi kwa tafiti zangu sehemu mbalimbali za Dar kwa watu wachache ninaokutana nao Slaa always ni kati ya 60 na 80%. Na mara nyingi watu hujadili JK na Dr. Slaa; kana kwamba hakuna wagombea wengine. Maana yake ni kwamba kama...
Behewa 5 zimeharibika kufuatia TRL kufanya safari zake mara moja kwa wiki ambapo inasababishwa na abiria wengi kubeba mizigo mingi kupita kiasi. Inakadiliwa kuwa kufuatia safari na mabehewa kupunguzwa, kila abiria anabeba mara tano ya uzito unaotakiwa. Kwa kawaida kila abiria anaruhusiwa kubeba...
Do not SAY NO TO KIKWETE; SAY YES TO DR. SLAA. BECAUSE IF YOU SAY NO TO KIKWETE, AND YES TO SLAA, THEN YOUR VOTE WILL BE COUNTED AS SPOILT.
SAY YES TO DR. SLAA
:glasses-nerdy:
Tetesi zinaonesha kuwa hata tukipiga kura kuleta mabadiliko hakutakuwa na mshindi atakayetangazwa mbali na Jk. Sababu ni kuwa kuna wizi mkubwa umeandaliwa na CCM so inabidi tulinde kura zetu maana kuna uwezekano wa kushinda uchaguzi wa Urais na akatangazwa mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.