Huelewi unachokizungumza. Tatizo ni kwamba teknologia unayoizungumzia hata huijui kabisa. D9 huwezi kulinganisha na Google au facebook, that is a scam. Watanzania tuna uchu wa pesa hasa rahisi rahisi, angalia facebook na google walikota halafu ndio ujenge hoja. Hakuna sehemu ambapo facebook...
UKIFUATILIA KWA MAKINI UTAGUNDUA WENYE NIA YA DHATI NA NCHI HII NIWACHACHE SANA AU HAWAPO KABISA. WATU AMBAO WALIKUWA TAYARI KUINGIA MTAANI KWA AJILI YA NCHI HII KUTETEA VITI VYAO VYA UBUNGE LAKINI KWENYE MADAWA YA KULEVYA WANKUJA NA KAULI LA WENGINE HAWASTAHILI KUTAJWA? HII NCHI TUNAWANASIASA...
Nafikiri ni nani katangaza matokeo hayo ya Ushindi wake? Je ameonyesha matokeo yenyewe ya ushindi wake? najaribu kufikiri tu au ni mbinu za kuanzisha fujo?
Kwanini Hayati Baba wa Taifa alitumia kura yake ya veto kumkataa Lowasa?By Yericko Nyerere
"Kwanini Hayati Baba wa Taifa alitumia kura yake ya veto kumkataa Lowasa kwa sababu iliyoitwa na inayoaminika mpaka sasa kuwa "Lowassa ni MWIZI anautajiri mkubwa usio na ufafanuzi alioupata kwa mda mfupi...
Mnafikiri enl kwenda kuzindua herikopta ya gwajima alikuwa anajua kazi yake ikoje? Unafikiri zile herikopta nne (4) zinazoanza kutumika wiki ijayo, moja ya nani? Mshenga lazima ajitolee muda wake na mali yake ikiwezekana ili mtu aweze kuoa.
Si wote wanaolitaja jina la bwana yesu, wanamaanisha...
Kwanini Hayati Baba wa Taifa alitumia kura yake ya veto kumkataa Lowasa?By Yericko Nyerere
Kwanini Hayati Baba wa Taifa alitumia kura yake ya veto kumkataa Lowasa kwa sababu iliyoitwa na inayoaminika mpaka sasa kuwa Lowassa ni MWIZI anautajiri mkubwa usio na ufafanuzi alioupata kwa mda mfupi...
Kwanini Hayati Baba wa Taifa alitumia kura yake ya veto kumkataa Lowasa?By Yericko Nyerere FEB 7-2014
Kwanini Hayati Baba wa Taifa alitumia kura yake ya veto kumkataa Lowasa kwa sababu iliyoitwa na inayoaminika mpaka sasa kuwa Lowassa ni MWIZI anautajiri mkubwa usio na ufafanuzi alioupata kwa...
MH. MWAKYEMBE AMLIPUA LOWASSA.
Mhe Mwakyembe amkaanga Lowassa kuhusu kadhia ya Richmond na kusema kuwa asikwepe maana tume ya Bunge ilimkuta na hatia na ikabidi ajiuzulu Uwaziri Mkuu. Ameeleza hayo kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais kupitia CCM Mhe JOHN POMBE MAGUFULI leo huko Kyela...
MH. MWAKYEMBE AMLIPUA LOWASSA.
Mhe Mwakyembe amkaanga Lowassa kuhusu kadhia ya Richmond na kusema kuwa asikwepe maana tume ya Bunge ilimkuta na hatia na ikabidi ajiuzulu Uwaziri Mkuu. Ameeleza hayo kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais kupitia CCM Mhe JOHN POMBE MAGUFULI leo huko Kyela...
MH. MWAKYEMBE AMLIPUA LOWASSA.
Mhe Mwakyembe amkaanga Lowassa kuhusu kadhia ya Richmond na kusema kuwa asikwepe maana tume ya Bunge ilimkuta na hatia na ikabidi ajiuzulu Uwaziri Mkuu. Ameeleza hayo kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais kupitia CCM Mhe JOHN POMBE MAGUFULI leo huko Kyela...
Ukawa hamtaki kuongea ukweli, jamaa anadhihirisha kuwa yeye ni jembe anazoa watu kupita maelezo huko mikoani.Leo Dk Magufuli Yupo Mbeya, Afunika Sumbawanga Afuta Ada Kwa Wanafunzi
Kama kweli sisi ni wasomi tunaotaka mabadiriko ifike mahali tuje na hoja za msingi! njoo na ushahidi hapa kabla ya kutuletea jambo kujadiri, otherwise hatutakuwa na tofauti na mtu ambaye hajakwenda shule.:cool:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.