Kujifanya wajuaji ndio shida ya Wabongo wengi.
Unakataa fortified rice kutoka US ila unafagilia cocacola na pepsicola na vyakula vya McDonalds na KFC pamoja na ARVs, ilhali vyote hivi vina some ingredients kutoka US.
Enzi zake, Mzee Mwinyi alizindua kivuko (daraja la waenda kwa miguu) cha manzese, ambacho kilikuwa cha kwanza nchini, kikiwa kimejengwa kwa pesa za msaada kutoka Japan.
Hata hicho kivuko kinaweza kupewa jina lake.
Hii ni maana halisi (ya kifalsafa) ya huo msemo. Lakini sio maana aliyomaanisha mzee MaROPE alipoongea katika mazingira na muktadha alipoongea.
Ndio maana hata Mama SSH alimuombea msamaha kuwa "mzee aliteleza".
Watu wanafikiri it is OK kuvunja sheria yoyote ya nchi as long as unatafuta kipato. In fact wengi wa wahalifu wa namna hii, wakiwemo na majangili huwa hawako innocent na wanaona ni haki kupambana violently na watumishi wa serkali. Wakiumizwa wao ndio zinakuja hizi one-sided stories zikionesha...
They can retract. Watasema they were not under oath. Walikuwa wanaongea utani tu. Kwanza chuo cha ardhi walichokitaja, hawakuspecify ARU. Inawezekana ni vyuo vya ardhi vya kati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.