hii inaonyesha kwamba hakuna mkweli katika dunia hii. maisha ya siku hizi kila mtu muongo kuanzia baba, mama,mtoto, babu na wenginoe hii nomaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
lazima tufikiri tulikotoka nikimaanisha kwenye familia zetu! tuishi kulingana na uwezo tusiishi kama flani anavyoishi tumetofautiana jamani. tatizo kubwa tulilonalo wanachuo kutaka ufahari wakati hali zetu duni. tunatumia vibaya boom kwa starehe na mambo yasiyo na msingi hela inawahi kuisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.