Salaam
Natumai mmeamka salama ila moja kwa moja katika point ni kwamba natumia android flani hivi ila kuanzia Jana nimepata tatizo la kushindwa kudownload chochote kupitia browser, naletewa notification kwamba(unsuccessfull download), naombeni msaada kwa mwenye kujua solution ya tatizo hili...
kuna pc(HP) ninayo ilikua na windows 7 na ikiwa inafanya kazi vizuri tuu, lakini nilichukua maamuzi ya kubadili window na kuweka windows 8, but on that time baada tu ya kukamilika installation ya windows 8 sauti ikawa haitoki ila tu kwa earphone.
sasa sijui tatizo ni nini japo nimejaribu kuweka...
msaada kwa mwenye uwezo wa kufix net framework ya 3.5 katika windows 8 mana kuna baadhi ya software nashindwa kuinstall kwa sabab ya net framework ya 3.5 haiwekwa kutumika katika windows 8
Nimepiga window mpya jana katika PC yangu, lakini nashangaa toka nipige hyo window naletewa huu ujumbe baada ya kuingia internet nashindwa kuelewa nini tatizo, nimejaribu kutmia browser tofauti tofauti lakini bado tatizo liko palepale.
na katika website nlizoweza kuingia ni jamiiforum tu na...
Habari zenu ndugu wana jamiiforum, ningependa kufahamu namna ambavyo ningeweza kutazama majina ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya afya kwa ngazi za stashahada na astashahada(2016) bila kupitia central admission system(CAS) katika profile ya mhusika.
Kama suala hilo linawezekana naomba...
Habari za Asubuhi GT's.
Natumaini Yu Wazima.
Mimi Ni Kijana Wa Kitanzania, Nina Tatizo Lilioanza Muda Mrefu Kidogo, Nasumbuliwa Na Kutokwa Na Vipele Pamoja Na Michubuko Katika Kichwa Pamoja Na Shingo Ya Uume!
Naombeni Msaada Kwa Anaefahamu Tatizo Hili, Nini Hasa Sababu Zake Na Matibabu Yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.