Marais wote waliopita hawakuwahi kuvaa magwanda kwenye shughuli kama hizo, ina maana hawakuwahi kuwa amiri jeshi mkuu? Kwani magwanda ndio yanakufanya kuwa amiri jeshi mkuu?
Muro hawezi kukwepa lawama katika hili. Ingekuwa vyama vya upinzani vinapanga kufanya mkutano, yeye na kamati yake ya ulinzi na usalama wangeshapata taarifa na kuzuia ila kwa haya mashindano haramu hawakuweza kupata taarifa
Hata huko yanakotengenezwa hayo magari kuna speed limit nyingi tu. Motorway za Uingereza speed limiti ni 70 miles per hour. Barabara za Tanzania hazina ubora wa kuweza kuruhusu magari yaende kwa mwendo mkubwa hasa kwa vile magari yanapishana bila ya kuwa na ukingo katikati ya barabara jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.