Search results

  1. Guus

    Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

    Miaka ya tisini tulikuwa tunazungumzia Mzumbe, Ilboru, Kibaha na Tabora Boys (kwa wavulana), na Kilakala, Tabora girls na Msalato (kwa wasichana). Kumbe wenzetu mkaja kuongezewa na "pugu, kisimiri, and the likes"!!! No wonder bado najiuliza hii kauli ya "Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000...
  2. Guus

    Fatma Karume atoa ya moyoni kuhusu aliekuwa Mume wake

    Shangazi wote huyu, mimi nilikuwa na binti hata moja ya nane ya anavyoonekana shangazi hakufika, na bado nikawa sirudi kabisa nyumbani 😂
  3. Guus

    Hatimaye naenda kuumbuka. Mimi ndiye nilikuwa chanzo cha Unit 13.7 kuisha ndani ya masaa 8 hadi 12

    Wait kwanza, Mke wako wa mchongo ndiye huyo kwenye avatar!!??
  4. Guus

    Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka

    https://minds-africa.org/scholarship-program-for-leadership-development/
  5. Guus

    Uraia pacha kwa taifa changa ni kifo kuliko faida

    Kwenye hii thread kuna watu wako serious sana. Unfortunately mwenye thread yake either hayuko serious or haelewi 😂 😂
  6. Guus

    Tetesi: Njombe Airport kuanza kujengwa

    Mita 3.5 hata mimi siwezi kuruka 😂 😂
  7. Guus

    Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka

    Hongera sana kuanzisha uzi kwa ajili ya fursa za masomo kwa Watanganyika sisi! Nimeguswa kuongezea tu kwenye jibu lako hili na lililotangulia. Swali la msingi la khamsinda ni "Mkuu, huu Uzi mtamu Sana na utanisaidia sana. Napenda kuuliza Jambo..... Katika hizi scolarship ulizotuma nmeshaapply...
  8. Guus

    Wanaume wengi wanakula vyakula vizuri kuliko familia zao

    Mbona hatuwaelewi! Kuna wenzenu wanatuambia tujipende, tukijipenda wengine mnakuja kutusema tena!!!😂😂
  9. Guus

    Ipo siku nitawaambia wanangu

    Shukrani Mshana Jr, ujumbe wako pamoja na kuwa unaonekana kulenga "wanangu", kimsingi unatuhusu sote sisi (sote tuna wazazi). Ujumbe huu na uwe pamoja nasi J'pili hii
  10. Guus

    Makamu wa Rais Philip Mpango kwanini Ofisi yako inashindwa kuifanya Dodoma ya kijani kwa kupanda miti msimu huu wa mvua?

    U Umeliweka vizuri sana. Kipindi cha kama miaka 2-3 nyuma nakumbuka kibali cha ujenzi kilikuwa hakitolewi hadi mchoro wa ramani ya nyumba ioneshe miti. Kulikuwa na idadi ya miti kwa viwanja vya high, medium na low density. Shida ni kuwa ufuatiliaji wa hiyo miti ndiyo kizungumkuti. Na sidhani...
  11. Guus

    Tuliyaishi haya zamani yetu, sasa yamebaki kumbukumbu ya kuvutia kama si kuchekesha

    Mtaa wa tatu ni kwa ninyi, kwetu sisi tuliokulia kota ni kufahamiana kuanzia nyumba namba moja hadi ya mwisho (kama nyumba 1,000 hivi). Shule za Msingi zilikuwa 3, jioni mkitoka mnakutana viwanjani kupandisha VIP vifuani :D :D
  12. Guus

    Tanzania ya "viwanda" imeishia wapi?

    Jamaa aliwajulia sana Watz, Watz wanapenda sana kusikia kuliko kusoma. Mtz akisikia atasimulia huyoo hata kama si kweli. Jamaa alitupiga kamba nyingi sana, na alipambana na yeyote anayejitia kutafuta taarifa sahihi.
  13. Guus

    Biden apewa ushauri hatari wa kupeleka mabomu ya atomiki Taiwan ili kukabiliana na China

    Nimecheka sana ulivyotumia nafasi ya kwanza-uwingi kwenye sentensi ya mwisho🤣 🤣 🤣 🤣 New York hukuna genge limewekwa kwenye "lane" ya watembea kwa miguu, liwalazimishe watembee yanapopita magari. Lakini pia najaribu kupafikiria mahali kama K'koo ama Posta. Kwa miji mikubwa unayoifanyia...
  14. Guus

    Biden apewa ushauri hatari wa kupeleka mabomu ya atomiki Taiwan ili kukabiliana na China

    Ninyi si wamachinga, wamachinga napishana nao kila kona na vibegi vyao mgongoni mitaani, na wala sioni mgambo akiwafukuza. Ninyi mlitengeneza magenge katikati ya mji
  15. Guus

    Wanatakiwa kuweka tangazo kuwa unywaji wa soda kupita kiasi ni hatari kwa Afya yako

    ...kupita kiasi... Bado kuna mtu hafahamu kuwa kuna tatizo katika kila "kupita kiasi"?!!!
  16. Guus

    Sifa moja inanifanya nione uzito kumuoa

    Kuna mwanamke ushamtamani, kataa kubali huu ndiyo ukweli (mwisho tambua tu kila utakayemuona mzuri leo, kesho utamuona mzuri zaidi yake)!
  17. Guus

    Machinga wasilete siasa waondolewe haraka miji yote Tanzania

    Hali ilikuwa mbaya sana, na waendelee hadi mikoani! Barabara za mijini siku hizi zinajengwa na sehemu za watembea kwa miguu ili watu tusipate shida ya kupigwa na side-mirror za wenye magari, ajabu sehemu zote wamachinga wametandaza vitu vyao. Ujinga mtupu!!!
  18. Guus

    SoC01 “Asbestos” kemikali yenye madhara makubwa kiafya iliyosahaulika katika mazingira yetu

    Sijawahi kujua hili! Utoto wangu wote hadi naondoka kwa wazazi mwaka 1999 nimeishi kwenye nyumba za kota zilizoezekwa kwa mabati ya asbestos. Ni eneo lenye mamia ya nyumba na by then zilikuwa chini ya serikali kabla ya privatization ya 1990s. Na naamini hadi sasa bado nyumba zile zimeezekwa na...
  19. Guus

    Hivi ni kawaida watu kukutizama sana kila wanapopata nafasi

    Sasa wewe hata ukiwa na hao wazungu pakua kama vile ulivyopakua majuzi ndiyo uajua mind your business ilivyo ngumu
  20. Guus

    Wakenya msione aibu, leteni Harambee Stars kwa Mkapa

    Leo tarehe 17 mwezi wa 9, Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limekataa kuuidhinisha uwanja wa soka wa Kasarani kutumika katika mchezo baina ya timu ya taifa ya Kenya (Harambee Stars) na Mali wa kufuzu fainali za kombe la Dunia. CAF wamegoma kuuidhinisha uwanja huo, katika mchezo unaotarajiwa...
Back
Top Bottom