Bila kuingilia shauri lililo katika mamlaka husika. Hivi si Mengi alifanya press conference ambayo ilihusisha representative kutoka vyombo mbali mbali vya habari na baada ya hapo kila chombo kikaenda kuandika na kutangaza kulingana na vipaumbele vyake. Daily News, Tanzania Daima, Mtanzania, Rai...
Kweli, si unajua tena serikali iko busy kuhakikisha suala la Rostamu na wenzake linaisha bila kuilazimisha kuwapeleka mahakamani kama ilivyolazimishwa kupeleka angalau watuhumiwa wachache wa fedha za EPA. Si mnakumbuka Sofia Simba na waziri mwenzake walivyokurupuka kumkemea Mengi.. kwa hilo wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.