Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua. Anaendelea kupata matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari.
Kutokana na ushauri wa madaktari wake, familia imeona ni vyema apate faragha akiwa...
Marehemu Rev. Mtikila alikuwa member wa JF.
Kuna mengi aliyajua na kifo chake bado naamini kilikuwa engineered Kigali.
Sijui authorities za Tanzania intelijensia ikoje.
Kuna maswali mengi kuliko majibu.
Tahadhari tu: Simu atakayoenda nayo Samia akirudi asiitumie tena wala simcard yake...
Tarehe 04 Mei, 2021 ilikua siku ambayo ilipangwa kwa amri ya Mahakama ya tarehe 01 Desemba, 2020 kuwa Mkutano wa kwanza wa kimahakama kuangalia mwenendo wa shauri namba 220 la mwaka 2018 (First Pre- Trial Conference and Scheduling) la Benard Kamilius Membe dhidi ya Cyprian Majura Musiba na...
Wakuu,
Nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa ni nafasi kubwa ndani ya chama hicho na kimsingi ndiye mchora ramani ya mwelekeo wa chama hicho.
Mzee Mangula (Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa wa sasa) yupo katika siku zake za mwisho katika nafasi hiyo.
Kumekuwa na utamaduni ndani ya CCM kwa...
Kiongozi si lazima awe mtu aliye katika nafasi ya mamlaka au mwenye cheo. Kimsingi, dhana nzima ya nafasi na vyeo ni mpangilio wa muda, ambao wakati mwingine hukuzwa mno na kutiwa nakshi isiyo sahihi.
Kwa bahati mbaya, wengi wakishapata vyeo/madaraka ‘hupoteza fahamu’ waziwazi! Tumewaona...
Naam wakuu,
Leo ni Jumapili nyingine. Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada. Mara nyingine hata akipewa nafasi kutoa neno kanisani.
Yupo Dar bado? Leo Machi 7, 2021 amesali...
Nimekutana na hii habari, ikabidi nitake kumjua kwa undani huyu jamaa.
Ametokea wapi hasa hadi kufika alipo? Ni kweli ndo atakuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM baada ya Bashiru? Tutarajie nini baadae?
Mwenye kuwa na wasifu wake na historia ya utumishi wake atushirikishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.