Ninayepost uzi huu ni mwanaume, napenda kueleweshwa kwenye namba 4 hapo chini:-
Society and media often portray the perfect man in a bow tie who brings flowers and prepares a candle-light dinner. As perfect as that is for a teenage fantasy, when a woman steps into her twenties, she starts to...
Yere…yere masela inakuwa nini pale kati? Kwani kuna problemu? Kitaa hii ni mpeto wanangu hakuna kusebenza kozi hapa vumbi tu. Ukifuata nyayo tunatembea na fagio tunazifuta. Kitaa hiyo kwa fasi ya Roki Siti barida? Kama vipi mzuka tu makiksi wangu.
Wanangu deizi zinakrosi kama hazina...
Kuna kila haja ya kujua mienendo ya mtu unayempenda ila kuna kila haja ya kutoruhusu hasira ikutawale. Ukishamkamata na kimeo chake waache waendeleze yao nawe shika jembe kalime. Dawa ya mpumbavu ni kuachana nae, ukishindana na mpumbavu unakuwa unampa kichwa na atajiona wa thamani sana wakti...
Hivi ni papuchi tu ndo huwa inatumika ama hata mshedede unatumika wakati wa majambo. Mbona shaft haipewi thamani?? Wote tunatumiana, km papuchi italipiwa kwa kutumika basi shaft nayo ilipwe kwa kutumika na papuchi. Km ni kuchafuka wote tunachafuana iweje mwingine aweke kitega uchumi huko???
Kulikuwa na ile ya Tarzan katika picha za kihindi. Kuna mama mmoja aliwahi kuuliza wale wanaoonyesha video kijijini "mbona siku hizi hamumletiTarzan, ama ameshkufa?"
Ni vema usijue kuliko kujua mkuu. Kuna mtu alijinyonga kwa sababu kama hiyo. Kama umeoa changudoa bila kujua inabidi uvunge ni mwema ili uishi kwa raha. Kama humuamini na unaona uko salama ni vema ukaanza kuachia ngazi taraatiibu ili ya presha kupanda na kushuka yasikukute.
Pamoja na kuwa na siku yenye changamoto nyingi kwa leo nmejikuta kuja huku kunaamshafuraha isiyo kifani, nadhani ofisini wameniona km nimerukwa kwa jinsi nilivyocheka. Km nilikuwepo vile
Mimi apa mwalimu njoo upate darasa, nakuahidi utakuwa umefuzu na kupata shahada ya uzamivu ndani ya mwezi mmoja kwa masomo ya jioni tu. Ni pm tuanzie hapo
NB: Hakuna ada na masomo yana prakitiko nyiiingi
Kwa nini usijiulize ni nini kinawafundisha mbwa, paka, kuku, samba, ng'ombe na hayawani wengine unaowajua wewe. Hata mimea inayo njia ya kugegedana ndo maana inachanua kwa majira na nyakati.
Wakati huo hakuna simu za mkononi ilikuwa ni barua kwa kwenda mbele. Kuna dada mmoja nilimpenda tangu tukiwa watoto na alikuwa nyuma yangu darasa moja (shule ya msingi) baada ya kumaliza masomo mimi nilifaulu lakini yeye hakubahatika kwa hiyo akabaki nyumbani.
Akiwa nyumbani na mimi wakti huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.