Na maandamano yali achieve nini
So many new taxes are being implemented and we know all that money is being stolen
Then the electoral commission circus.
Ni michezo na sarakasi bure kabisaaaa.
Basi sasa ni February 2012 hili swala na maisha yamebadilika vipi? Maisha ugenini yanazidi kuwa..... Hebu semeni misimamo yenu imebadilika ama ni ile ile, na kama kuna mmoja wenu amehit jackpot basi hebu tugawie
wote tunawatumia risala za rambi rambi.
Mungu alaze roho zao mahali pema peponi.
hizi habari zote zilinikumbusha wimbo huu wa visiwa
http://likembe.net/Sounds/Marashi Ya Pemba - IOSS (Duku Duku).mp3
Koba kusema kweli njama si kumfukuza mwenzangu. huku marekani umeona wageni wangapi wamepoteza muda wakingoja mambo yawe sawa na yanazidi kuwa complicated?????????? wakati mwingine ni heri utafute haki yako kwingine............... kuna watu ambao bahati yao ni kwingine. na kusema kweli watu...
RAJ PATEL JR shida hana papers. mwenzangu anasema hawezi kuondoka bila papers. sasa anapoteza wakati bila kazi na mwishowe pengine atapata kazi not the degree studied. sitaki kumwongezea stress, lakini kusema kweli nimechoka! :confused2: hata nilimwambia bahati ya kila mtu si marekani...
sylver asante. shida hachukui serious kutafuta kazi kwingine. si state nyingine, si nchi nyingine. kwangu naona mtu akikosa mahali comfortable pa kulala, pa kuwatch tv, pa kusurf internet, pa kurelax, atajilazimisha kuSINK or SWIM. ndio sababu lazima nimhamishe. ana cheti cha masters pia...
the link says - **********The husband went to the kitchen, grabbed a knife and threatened to cut his wife. Police said she picked up a pair of scissors........ ************ inaonekana there was some self defense in this story too. it is TERRIBLE THOUGH. No one deserves to die.
wenzangu ninatafuta suluhisho.
sisi tuko huku ugenini pekee yetu, mzazi peke yake nyumbani africa.
kaka kapoteza kazi lay off. miezi minne sasa ameishi na mimi. ameishiwa heli, gari imechukuliwa. Twaishi in the South. unemployment imezidisha.
mie nimechoka kumweka kwangu. hana senti hana...
Jana niliona story juu ya huyu jamaa on PBS. Alikuwa anahojiwa na Andrew Young. Kipindi kilikuwa juu ya Tanzania na maendelo.
Hebu nipe his stori zaidi.................. hasa juu ya how he made his millions.
Alisema alizaliwa fukara lakini kwa kutumia jitihada na biashara amejiinua sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.