Kwani wale waloficha sukari ilikula kwao? Wewe ndio ilikula kwako ukanunu sukari kilo 3500.
Kwa haya mahindi, itakula kwako tena maana bei ya kilo ya unga inapanda.
Issue za nchi hii lazima asingiziwe mtu.
Picture this-
ZEE la ulabu kunywa pombe hadi kulewa na kuwafanyia fujo majirani zake, lawama anawapa wapinzani kwa kumchafulia jina lake.
Bwana yule anadikiri kusema njaa wameletwa na wapinzani, lawama wanapewa wapinzani.
Magufuli awejibike...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.