Kuna mtikisiko wa kisiasa toka mdogo wake Rostam akamatwe na Kaka alipokuja kuonana na mkuu baadae Akraham akaachiwa na baada ya hapo Rostam akarudi kwenye anga za Tanzania na akaanza kuonekana tena, baada ya kuonekana tumeanza kuona vishindo vyake
1. Kumrudisha Lowassa CCM, itakumbukwa Mzee...
Hiki kituo ukiweka mafuta usiku imekuwa kwako, wajirekebishe wawaulize Oilcom Mbezi chini wanalia baada ya GBP kufunguliwa, Oilcom walizoe kuwaibia Wateja sasa hivi wanabembeleza watu warudi ila ndio hivyo watu wakishaamua imekuwa kwao
ATCL tumewaunga mkono lakini biashara inaelekea kuwashinda Leo abiria waliotakiwa kuondoka Saa 11 jioni wa Dar - Mwanza mpaka sasa SAA tatu na robo usiku bado wako airport.
Na kumbuka mlisema reporting time ni kuanzia SAA Tisa mchana INA maana wanaokaa mbali waliondoka SAA sita majumbani ili...
EU-Southern Africa Economic Partnership Agreement Takes Effect
A long-awaited Economic Partnership Agreement (EPA) between the EU and select southern African countries came provisionally into effect this week, officials confirmed on Monday 10 October.
The EPA was signed in June by the EU and...
Kutokana na vuguvugu la siasa nchini naanza kuona dalili za serikali ya mseto na itakuwa either rais magufuli waziri mkuu mbowe au rais lowassa waziri mkuu magufuli.
Hii naamini inaweza ikawa serikali inayoweza kuwatumikia wananchi kuliko serikali zote zilizopita.
Naomba mungu tusifike hapo kwa...
Nimetafakari na kuona sisi vijana tuna wajibu wa kuingia na kubadili mwenendo wa siasa za nchi yetu.
Ukiangalia wagombea wote wanaojitokeza kuomba ridhaa ya chama cha CCM hawana jipya zaidi ya siasa za majigambo, siasa za rushwa na ufisadi, siasa za kulindana, siasa za kuonyeshana nani ana...
Nikiwa mteja wa CRDB nalazimika kusema ukweli kuhusu hii benki yetu yaani kwa huduma hasa za CRDB siku hizi hasa week hii ziko slow na leo jumapili zote toka asubuhi azifanyi kazi kazi nimeanzia millennium tower, shamo complex, shamo tower, engen petrol station mbezi na sasa niko kibo complex...
Kwa muda sasa toka Muhongo atoke madarakani nimeanza ku-experience mgao wa umeme wa mara Kwa mara na kukatika ovyo Kwa umeme bila taarifa yoyote Kwa maeneo yetu huku mbezi (sijui maeneo mengine kukoje) .
Nimemkumbuka Prof. Muhongo enzi zake haya mambo tulianza kusahau ila baada ya kutoka na...
Jamani naombeni msaada ninajisikia maumivu kwenye shingo sasa ni wiki ya tatu bado hayajaisha. Mwanzoni nilidhani labda kulala na mto nikaacha ila bado maumivu yakaendelea nikaenda kucheck malaria wakaniambia nina malaria nikanywa dawa nikamaliza ila bado nasikia maumivu. Sasa hivi kuna jamaa...
nimesoma hii habari leo nikajiuliza kwa nini kwetu imeshindikana na nadhani tukifanya kama wenzetu ndio itakuwa ni suluhisho la tatizo kwenye maeneo yenye natural gas
kwa habari zaidi soma hii link Billions in gas drilling royalties transform lives - Yahoo! News
kuna mwekezaji anatafuta viwanja kwa ajili ya kuwekeza either lease au joint venture maeneo ya masaki, oysterbay na ADA estate.
kama una plot au unamjua mtu anayetafuta mwekezaji nipigie namba 0719338511
Jamani, nimejaribu kufuata utaratibu wa kupata kibali cha ujenzi wa nyumba kutoka manispaa ya Kinondoni ila sasa ni mwaka mmoja tangu niombe ila ni usumbufu na rushwa imejaa mpaka sasa sijapata kibali.
Nikifuatilia mwanzoni walikuwa wanasema kikao bado hakijakaa kupitisha vibali na na...
Nakumbuka katika sherehe za kuchangia kwaya moja Sita alitamka kuwa nchi inayumbishwa na mafisadi wasiozidi kumi ila akaonya kuwa mwisho wao itakuwa kabla ya 2012. Je alijua hatua za zitakazochukuliwa na chama kwenye kikao cha wiki iliyopita? Kama alijua basi nasema uamuzi wa CCM ni ushindi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.