Hii hutokea pale mfuasi wa Mbumbumbu FC anapohangaika kutaka kuonesha yeye sio mbumbumbu! Kwani paragraph ni nini?! Usikute nyie ndo wale mnaodhani paragraph inatakiwa kuwa na idadi fulani ya sentensi, na haitakiwi kuwa na sentensi nyingi bila kujua kinachotengeneza paragraph ni idea, na kwa...
Nyie kweli makorokoro na mambumbumbu manake kila mnachokisoma Instagram mnakiamini na kukishangilia!!! Mlidanganywa Djuma karudisha pesa, hapo tena mkashangilia! Juzi mmedanganywa eti mkataba wa Konde Boy hauruhusu kucheza TZ miaka 5 ijayo, bado kama mazuzu mkashangilia bila kujiuliza, ikiwa...
Kuchanganya nako ni kuharibu Kiswahili... mbona hili lipo wazi?! Tena ni kuharibu kwa makusudi tofauti na wale wa "r" na "l". Au mnaona hiyo si kuharibu kwavile tunachanganya na kizungu?!
Suala la Local Channels halipo kwenye mamlaka ya Azam or any service provider mwenye leseni sawa na Azam... hapa wanaingia pia DSTV na Zuku. Tulipoingia Digital, ni Startimes ndio walipewa sharti la kurusha local channels ambazo zilikuwa na national coverage na hii ni kwavile tangia hapo hizo...
Hakuna hatari kubwa kama hii ya kila mtu kujifanya nae ni mchambuzi!!! Hivi kwanini kila mara unapenda kuhusisha elimu na DINI na MAKABILA wakati ukweli upo wazi kwamba ubora wa elimu unatokana na uwekezaji kwenye sekta hiyo? Dar es salaam hapa kuna joto kweli kweli na kuna watoto kibao hata...
Na mdudu mwingine hatari zaidi kwa lugha yetu hii ni pale watumiaji wake kwa makusudi kabisa wanapoamua kuchanganya Kiswahili na Kiingereza. Na bila shaka, hali inageuka na kuwa ya kuogofya maradufu pale uchanganyaji huo wa Kiingereza unapofanyika katikati ya kukitetea Kiswahili! Inakuwa ni kama...
Ingekuwa hoja basi angeshinda WizKid! Hoja zingine zimekaa kiporojo zaidi... kwa mfano, suala la Ali Kiba cjui lina uhusiano gani na kutopata tuzo kwake unless kama tu ulitaka ku-force kumlinganisha nae ingawaje unafahamu mmoja ni BET nominee in two years row na mwingine tangu dunia hii ianze...
Ushaanza! Ina maana hadi leo ulikuwa hufahamu kwamba boxer ikiwa safi inapunguza nguvu za kiume?! Au utakuwa kasichana ka' Form II wewe usiyefahamu mambo ya kiutu uzima?! Ona sasa; umenifanya niongee mambo ya kikubwa hadharani! Kwanza boxer ikishakaa wiki 2 inatengeneza fume kabisa ya kuulia...
We nawe! Huyo bacteria huko alikotoka ndo aje fanya makazi kwenye dushe?! Huyo bacteria labda atakuwa katumwa na aliyemtuma watu washamlia ubwabwa wa shughuli na kuiacha asset yake inatapatapa!
Hahaha! Hawa wa vimo vyangu sometimes wanakatisha stimu! Raha ya ku-swim mwenye ku-swim ndo awe na maamuzi... akitaka kupiga mbizi na asionake basi afanye kwa raha zake na kama ni haste haste na iwe haste haste! Sio mtu umejikoki kupiga mbizi mzima mzima unakutana na speed governor... aaaaargh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.