Search results

  1. R

    Kimeumana, Benki ya Dunia yaiweka Tanzania kwenye nchi zenye mzigo mkubwa wa madeni

    WB Yaiweka Tanzania?! Kwani iliiondoa lini?!
  2. R

    Antonio Nugaz amwita Manara "Msukule"

    Hii hutokea pale mfuasi wa Mbumbumbu FC anapohangaika kutaka kuonesha yeye sio mbumbumbu! Kwani paragraph ni nini?! Usikute nyie ndo wale mnaodhani paragraph inatakiwa kuwa na idadi fulani ya sentensi, na haitakiwi kuwa na sentensi nyingi bila kujua kinachotengeneza paragraph ni idea, na kwa...
  3. R

    Antonio Nugaz amwita Manara "Msukule"

    Nyie kweli makorokoro na mambumbumbu manake kila mnachokisoma Instagram mnakiamini na kukishangilia!!! Mlidanganywa Djuma karudisha pesa, hapo tena mkashangilia! Juzi mmedanganywa eti mkataba wa Konde Boy hauruhusu kucheza TZ miaka 5 ijayo, bado kama mazuzu mkashangilia bila kujiuliza, ikiwa...
  4. R

    Hivi ni nini kinaendelea Clouds Tv?

    Kazi mnayo!
  5. R

    Kiswahili kinapanuka na kupasuka wakati huo huo?

    Kuchanganya nako ni kuharibu Kiswahili... mbona hili lipo wazi?! Tena ni kuharibu kwa makusudi tofauti na wale wa "r" na "l". Au mnaona hiyo si kuharibu kwavile tunachanganya na kizungu?!
  6. R

    Jamani Azam TV tuhurumieni kwa kutuachia Local Channels

    Suala la Local Channels halipo kwenye mamlaka ya Azam or any service provider mwenye leseni sawa na Azam... hapa wanaingia pia DSTV na Zuku. Tulipoingia Digital, ni Startimes ndio walipewa sharti la kurusha local channels ambazo zilikuwa na national coverage na hii ni kwavile tangia hapo hizo...
  7. R

    Kiswahili kinapanuka na kupasuka wakati huo huo?

    Tofautisha kati ya kuazima maneno na kuchanganya lugha!
  8. R

    Kabila lenye hali ya hewa bora kabisa nchini kwa uzalishaji wa mazao

    Hakuna hatari kubwa kama hii ya kila mtu kujifanya nae ni mchambuzi!!! Hivi kwanini kila mara unapenda kuhusisha elimu na DINI na MAKABILA wakati ukweli upo wazi kwamba ubora wa elimu unatokana na uwekezaji kwenye sekta hiyo? Dar es salaam hapa kuna joto kweli kweli na kuna watoto kibao hata...
  9. R

    Kiswahili kinapanuka na kupasuka wakati huo huo?

    Na mdudu mwingine hatari zaidi kwa lugha yetu hii ni pale watumiaji wake kwa makusudi kabisa wanapoamua kuchanganya Kiswahili na Kiingereza. Na bila shaka, hali inageuka na kuwa ya kuogofya maradufu pale uchanganyaji huo wa Kiingereza unapofanyika katikati ya kukitetea Kiswahili! Inakuwa ni kama...
  10. R

    Utafiti: Zaidi ya asilimia 87 ya wanaume huwa hawasafishi mikono wakitoka haja ndogo

    Ni beneficial bacteria ambao wanahusika na spermatofication of blessed living fluid! Tukikutana, mkono wangu unao... tena kiganja hadi shavuni!
  11. R

    Kilichomwangusha Chibu Dangote BET 2016 ni hiki

    Ingekuwa hoja basi angeshinda WizKid! Hoja zingine zimekaa kiporojo zaidi... kwa mfano, suala la Ali Kiba cjui lina uhusiano gani na kutopata tuzo kwake unless kama tu ulitaka ku-force kumlinganisha nae ingawaje unafahamu mmoja ni BET nominee in two years row na mwingine tangu dunia hii ianze...
  12. R

    Utafiti: Zaidi ya asilimia 87 ya wanaume huwa hawasafishi mikono wakitoka haja ndogo

    Ushaanza! Ina maana hadi leo ulikuwa hufahamu kwamba boxer ikiwa safi inapunguza nguvu za kiume?! Au utakuwa kasichana ka' Form II wewe usiyefahamu mambo ya kiutu uzima?! Ona sasa; umenifanya niongee mambo ya kikubwa hadharani! Kwanza boxer ikishakaa wiki 2 inatengeneza fume kabisa ya kuulia...
  13. R

    Nilichoambiwa nyumbani baada ya kumtambulisha mchumba wangu

    Akipendwa na mama angu tu inatosha; tena SANA tu! Kwani hao wanaokoo hawana watoto hadi ndoa yangu nayo iwe yao?!
  14. R

    Utafiti: Zaidi ya asilimia 87 ya wanaume huwa hawasafishi mikono wakitoka haja ndogo

    We nawe! Huyo bacteria huko alikotoka ndo aje fanya makazi kwenye dushe?! Huyo bacteria labda atakuwa katumwa na aliyemtuma watu washamlia ubwabwa wa shughuli na kuiacha asset yake inatapatapa!
  15. R

    Ndugu yangu Humphrey Polepole, ukatae uDC ili uisimamie rasimu uliyopendekeza

    Unasemaje wewe? Yaani niache u-DC?! Usin'tanie..
  16. R

    Kuacha utani wanawake warefu ni wazuri sana

    Hahaha! Hawa wa vimo vyangu sometimes wanakatisha stimu! Raha ya ku-swim mwenye ku-swim ndo awe na maamuzi... akitaka kupiga mbizi na asionake basi afanye kwa raha zake na kama ni haste haste na iwe haste haste! Sio mtu umejikoki kupiga mbizi mzima mzima unakutana na speed governor... aaaaargh!
  17. R

    Kuacha utani wanawake warefu ni wazuri sana

    Huku kwetu hao wanaitwa ngongoti sema kuna mtu kanihamasisha kasema wana kina kirefu!!!
Back
Top Bottom