Kati ya miezi 6 na miaka 50 baada ya uhuru ni upi umri mkubwa, kama utawala wa miaka 50 umeshindwa kushughulikia hayo matatizo yakaisha unategemea wa miezi 6 amalize hayo matatizo? Kwa miujiza ipi? Wape muda bahati nzuri tumewaamini sisi tuliokuwa wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.