Box la kwanza tupia opxn ya s (s)
Box la pil tupia # ya shule ya 4m4 (0000)
Box la tatu tupia # ako ya 4m4 (0000)
Box ka mwsh tupia nwaka ulonalza 4m4 (2030)
Then bofya sach
Huyu mungu ni mungu wa majeshi (wafalme 5:7)
Na wajeshi wenyewe ndio sisi (jkt),wale al shabaab si majeshi ni magaidi (watafute mungu wao)
John 3:16
"For God so loved the world,that he gave us his only begotten son,that who ever shall believe in him shall have an everlasting life"
"Leteni...
Sitaki kukoment chochote kuhusu huu uzi,najua nikifanya hivyo nitapata ban,hata ¼ mwaka sijatimiza....
Ndugu,chezea akili ya mtu lakini usichezee imani yake....
ANGALIZO...
Futa huu uzi,umekaa kichochezi sana...wenye uelewa wameshanipata...
Boyz hakuna div. 4 & 0..??
2012 kuna zero pale,unakuja huku kudanganya umma..
Kwanini uzungumzie mwaka m1 tu (2011)afu unaisolate miaka mingine...
Boyz sasa hivi imekua kama shule zingine wala haina haja ya kubishana
Niambie;
Kibaha
Ilboru
Mzumbe
Kisimiri...nitakuelewa
Nimekusoma Landcruiser...
Hujui mchezo uliochezwa hapa,hiyu mpigamsuli m.nge.se sana,kanichezea mchezo mchafu....
Yani ame-edit post yake baada ya mimi kutuma comment yangu..huyu mtoto mjinga sana...
Kwanini wasitupie mzigo kwenye web yao..../???
Hawa jamaa bhana,hivi zile 30000 tulizowarushia kwa Mpesa,wamezifanyia nini,kama hata kurusha majina kwenye web yao wanashindwa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.