huyo boss wako ni wakutoka ASIA nini, watu wa uko ndio walivyo, Lakini ni wazuri sana kwa kufundisha watu ETHICS za kazi. We komaa tu. Working experience ya mwaka mmoja kwake ni sawa na kujiandalia hazina ya miaka kumi sehemu utakapokua baadae.
mtoto wa mjomba, shangazi, n.k utamjua tu. kwasababu wewe umeungiwa na mjomba unahisi tabu ya ajira iko kwetu sisi wanaume tu. heshimu post za watu, mtu anapohitaji msaada kama huna cha kumsaidia bora umuache kuliko kumponda.
Anahitajika mwalimu wa physics katika shule ya secondary living stone boys seminary, shule ipo maeneo ya Muheza mjini mkoani Tanga. Tunatoa mshahara mzuri kwa mtu atakaye kizi vigezo vyetu.
Mbali na mshahara pia tunatoa nyumba na huduma mbalimbali kwa wafanyakazi. Muombaji awe na degree au...
unawaza nini, wakati shortlist ikitoka hujui kama upo au haupo? na ukiwepo bado kuna itervew zinaendelea. kazi kama hizo sio za kujifikilisha, unatuma hafu unasahau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.