Iam vey sick to discuss TANROAD .Hivi nani anapanga malipo ya Ma CEO wa makampuni ya nayohusu serikali ?Kwasababu inaonekana hawa jamaa wanalipwa zaidi kuliko wanavyozalisha halafu tofauti ni kubwa sana kwa wanaofuatia katika utendaji.Kwa mtaji huo mwanainchi wa kawaida ataendelea kukosa unafuu...
Mimi bado nampongeza mchangiaji aliyegusa swala la kutenganisha elimu na uchapaji wa kazi.Watanzania bado tumedumaa na kutafuta vyeti vya elimu wakati hatuwezi kuzifanyia kazi.Watu tuna PHD ,Master na vingine vikubwa lakini hatuwezi kudeliver chohote tumebakia sifa za maonyesho.Marekani ma CEO...
Huyu jamaa anayeitwa Kamala nimemuelewa kidogo pale aliposema watanzania wanatakiwa kujiamini hiyo nampa 100% ni kweli hilo ndilo tatizo kubwa la watanzania. Tumeshindwa kujiamini katika kila kitu kwasababu msingi mibovu tuliyo nayo .Pia wengi wetu tumendekeza ubishoo, ulimbwete na Usanii...
Sasa huu mpango wa kupeana pesa kwenye makambuni ya mafisadi halafu wanaibatiza stimulus economies.Kwani wakichota hizo pesa wakawapa wakina mapapa na manyangumi nani atajua kwamba ni wizi ?Kila mmoja atasema ni stimulus kwa hiyo mimi ninawasiwasi na hilo zoezi zima litakalofanywa.
Mimi naona kwamba anayetaka jina la mawaziri watajwe naomba atuletee Garama ya RAIS JK anayotumia na rafiki zake wanaompeleka safari kila kukicha. halafu atuambie matumizi yake pia na mapato yake huko anakopeleka bakuli na atuambie akikinga bakuli lake analeta kiasi gani ?.Huyo BWAMBO ameweza...
Hii ni aibu tupu kwani huyu JK kwenye mikutano anatumia desa kwenye umatonya anatumia desa .Ni kweli kabisa watu wengi wasio jiamini maranyingi wanatumia tesa tena ukiona desa kubwa kama hii aliyo beba ujue kwamba hawezi kuandaa mujumuisho wa desa lote .Pia inatokana na wasaidizi wake...
Mimi nadhani anataka kuwa selebrety wa holiwood naona ameenda kuomba application ndio maana anaongea na stiven segal.Watanzania sasa ni wakati wa kujutia uchaguzi tuliofanya kwa mapenzi yetu kumchagua JK mpenda umaarufu angalia anavyo tia haibu kilakukicha yuko kwenye ndege kama mtalii.
Wewe unamatatizo kwani usichanganye ndoa na uaggressive wewe unataka mke sio uajibikaji sasa tena bora huyo amesoma alafu ana ka cv sasa je angekuwa hana inamaana usingetaka hata kumwona.Kama ndio udhaifu ni huo tu basi huyo ni mzuri kwelikweli .njoo nikupe pledge.
Huyo mgoni ni bomba hasa kwani analipia na anatumia nafikiri hicho kisa ni mfano wa maadili yaliyo momonyoka kwenye jamii .Hiyo tabia ya kifasadi na wake za watu pia waume za watu nikitu cha kawaida na kinaendelea sawa sawa.Hila huyo jamaa analipia kubwa kwani wengine wanatoa bila malipo pia...
JK atuwambie kwenye bakuli letu la ombaomba zimejaa ngapi ?Na atuambie matumizi yake je na ametoa na nani hajatoa mchango ili tujue kama anaweza kupendwa kwa tabia hiyo ili 2010 tuone kama anafaa au tumpe mtu mwingine.
Hapo swala la usomi kunawakati mwingine hambao hautakiwi sana kwani atuwezi kuadmit uzembe kwa kusingizia kutosoma au kusoma huo uongo mkubwa.Kuna watu wanavyeti vya ngumbaru lakini wanaweza kufanya maajabu.Kuna watu wamesoma sana lakini elimu yao hazijawasaidia na wala hawana jipya kwahiyo...
Mimi niko kwenye upande wa kupinga ufisadi na sitajiunga na ufisadi hata kidogo kwani wajomba zangu vijijini wanateseka sana hata majirani zangu mjini pia wanateseka ,pia watanzania nao wanateseka wanaodai kwamba wanafurahiya maisha ni kwamba ukimuuliza kwamba yeye kama mzazi akifa watawaajia...
Natofautiana kidogo hapa kuhusu immunity ya Mkapa kwani sijui mwizi kama huyu anastaili kuwa na Kinga hiyo ambayo inasemwa, kwani kinga haiwezi kumlinda mwizi kiasi hiki.Pia mimi bado namwona JK kama ndiye amempa hiyo kinga kwani huyu Mkapa anatakiwa hajibishwe hata aongee tujue kwamba...
Je jamii forum huyu mtu anayeitwa RA hamchoki kusoma habari zake ?Kila kukicha lazima tusome habari zake.Sasa tumechoka naye kwanini mtu mmoja asijitoe muhanga achukue yale yaliyobakia pale mbagala amsogezee kwenye gari lake ili tubadilishe discussion yake.Kwani wale ndugu zetu waliokufa pale na...
Naomba resume ya huyu Mkuchika pia kama kunamtu anajua uchapaji wake wakazi atutokezee, hawa ndio wanaopata vyeo kwa uchawi kwani hawana lolote ni mpuuzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.