Uzuri wetu watanzania ni wachapishaji na wapiga kelele wazuri ila kuwajibika ni hamna..,kweli JPM na serikali yake imenifanya nigundue nchii hii wazalishaji ni wachache zaidi ya walaji ndio maana maneno mengi kila kukicha..
Unaemdharau kusaini mkopo alishakuwa kama sio bado ni mwenyekiti wa bodi ya makandarasi nadhani taaluma hii ya majenzi anaifahamu kukuzidi na hizo porojo zako...
Daa hii nchi hawakuchaguliwa wasomi tulilalamika sasa wasomi wanapata uteuzi napo imekuwa shida kweli naamini sisi WATANZANIA NI WANAFIKI KUZIDI UZAO WA MITUME ULIOKUWAKO DUNIANI...
Uhamiaji wanatembelea kampuni zote aacheni maneno...mimi nimeona kampuni nayofanyia kazi walifika na pakawa hapatoshi sio hapatoshi watu wa nje wote wanasalute picha JPM...
Mimi nasikitika hukumu inaelemea upande mmoja kwa mwalimu bila kuangalia tatizo limeanzia wapi kwani nini walimu walipandisha hasira vile ila kwa sababu wazazi wengi wetu hatupendi kuambiwa wala kukubali tunapoambiwa mtoto wako mwizi au mtukutu sishangai mzigo wa lawama na hukumu wakipewa walimu...
Hizo faragha ndio zimetufikisha hapa tulipo....mi nadhani aliamua kuweka wazi na kama anaona anaonewa ajiulize mke wake kufanya kazi wakati shirika halifanyi vizuri au halipo ni sawa...!?
Kama zikiachwa huru na uhuru huo ndio mwanya wautumiao kufilisi au kuiba mali za shirika husika...,Je huoni kuna haja ya serikali kutoa miongozo yake..!?
Zikishindwa na wewe utakua umeshindwa hakika taifa zima la tanzania litakuwa limeshindwa ila kama wewe sio mtanzania hutakuwa ndani ya kundi la kushindwa....
Duu kweli hii ndio tanzania ya watanzania......tuna ubunifu wa kulalamika na kupenda virahisi ila kubuni na kujituma penye ugumu uvumilivu huo hatuna....pole yetu taifa la kulalama....taifa la mdomo na sio la mikono ya kufanya kazi na vichwa vya ubunifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.