Jamania inabidi tuwape sifa EAST AFRICA TV NA EAST AFRICA RADIO, ndiyo media pekee nimeona inazungumzia na kupromote suhala la wiki ya mama,. u guys at EATV ur most creative media house in Tanzania au wadau mnasemaje?
Mheshimiwa, helewa kakopa na karudisha,kama anadaiwa asingeshinda kesi Mahakama kuu..jamani tuelewe hizi ishu vizuri, Mengi amekua cleared na Mahakama Kuu ya Tanzania
Mengi kapresent evidence against is allegation, Rostom anasema Mwakyembe ame clear issue ya richmond wakati hakutokea kwenye kamati.
- watanzania tunaogopa kuongelea awa jamaa sababu tutaitwa wabaguzi wa rangi! can an Tanzanian go to India au Irana afanye wanchofanya hawa jamaa?jusk ask...
waheshmiwa wote ninadhani wazima,mimi nimekua nikisoma sana Jamii Forum,lakini sasa hivi inabidi nijiunge kuchangia...
1. Watanzania hawana uzalendo kabisa compare na jirani zetu Kenya au Uganda hawezi kuacha mwafrika mwenzao achezewe hivi na watu ambao this is second home to them. Mengi hana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.