Mimi kama mpita njia nilijaribu kupiga picha tiketi ya huyo mwanafunzi na kuituma kwa trafiki kibaha na pia kutoa taarifa kwa afisa wa LATRA Morogoro 0738 000 054
Sent from my SM-N920S using JamiiForums mobile app
Uko sahihi. Naambiwa hapa tiketi hadi stendi ya Magufuli wanachaji elfu26 ila kama utashuka kituo kinachofuata unalipishwa elfu40 ambayo kwao no nauli ya Morogoro. Muhimu haki za mtejwa zilindwe jamani, khaa!!
Leo nimeshuhudia mtafaruku kati ya watumishi wa BUS LA MANING NICE na abiria wa kike ambaye ni mwanafunzi aliyesafiri kutokea Lindi kuja Kibaha. Ameshuka na makondakta wakamshushia begi na godoro la futi 3, wakamdai alipie godoro elfu30. Mwanafunzi akapigwa butwaa kwani anadai godoro huwa...
A boat docked in a tiny Mexican village. An American tourist complimented the Mexican fisherman on the quality of his fish and asked how long it took him to catch them. "Not very long," answered the Mexican.
"But then, why didn't you stay out longer and catch more?" asked the tourist.
The...
wenzetu wakisonga mbele kwa kazi sisi tulilala, wajanja wamegawana tulivyorithi EAC ya enzi hizo halafu tunatafuta mchawi, duh! EAA si iligawanyika kila nci ikaambulia vindege kadhaa? Sasa kenya wameweza from vindege kadhaa kukuza hadi kuwa na "really" international airline! Sisi? Tulibakia...
Cha kushangaza zaidi, madawa kibao na vipimo utaambiwa bima ya afya hailipii so inabidi ulipie mwenyewe, ila hushangai kusikia eti wamegharamia sijui semina elekezi za jk!!!!
Muhimbili yenyewe iko juu ya mawe, haina kitu - si madawa ya dharura, mashine za kuuwa wadudu kwenye vifaa, oksijen etc, ukipelekwa Muhimbili ukapona ni Mungu wanko na sio hao madaktari makarani wanaoishia kuandika yaliyokusibu ilihali hawana vifaa vya kukuhudumia. Hapo ni hospital ya taifa, je...
An economics professor at a local college made a statement that he had never failed a single student before, but had recently failed an entire class.
That class had insisted that Julius Malema's Nationalization worked and that no one would be poor and no one would be rich, a great...
Dereve mmoja kwa jina MIKE alikuwa anampeleka boss wake Airport. Njiani Boss alikumbuka kuwa amesahau document muhimu sana hivyo alimwamrisha Mike amrejeshe haraka nyumbani aifuate hiyo document.
Walipofika nyumbani Boss alimkuta mkewe yuko bafuni anakoga na amejipaka sabuni
usoni. Kwa...
Duh, ndugu yangu nimeshindwa kuelewa hapo kwenye RED! Nategemea comment yako hadi ukaiweka hapa itakuwa evidence-based!
Labda tu nikuombe uweke evidence hapa tufahamu hizo data kwani sikuwa na habari kuwa doctors wa urusi na china wako "shallow mno" ukilinganisha na??????
Jibu lako kalitoa KM PM jana, ila wacha kututania wewe utakuwa mlinzi wa geti kuu! Kama peanuts mnazozipokea kwa kuwa zamu 36hrs wewe unazishangilia, nakushauri uende mirembe kwa check up ya kichwa kabla hujalazwa moi kwa operesheni ya uvimbe wa kichwa. Nyie ndo masaburi mnaosababisha huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.