Hawa mashabiki mbumbumbu ndo wanashinda hapa jukwaani kulaumu wachezaji, coaches, na viongozi kwamba hawafai. Hawa mashabiki ndio walimwita Ntibazokiza mzee, mhujumu team, leo wanashangilia!
Hawa mashabiki ndio walishinikiza uongozi umfukuze Chama kuwa hana kiwango. Hawa mashabiki ndio...
Ukikaa na raia wa Mali leo hii, wanaifurahia sana serikali iliyoko madarakani. Hakuna wizi wa pesa za umma wala miradi kukwama. Ingawa si vizuri, lakini natamani hata sisi tungepata serikali ya aina hiyo. Watumishi wetu wa umma hawana wasi wasi kabisa na ripoti ya CAG maana wameizoea na wanajua...
Hata wachezaji wa Biashara wanalalamika kupewa kocha wa kigeni, kwa hali ya kisoka waliyo nayo. Wanatamani wangepewa kocha wa kibongo wangebaki kwenye ligi. Hivyo nafikiri kuna namna makocha wazawa wanafanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.