LAPF
1
Mkurugenzi Mkuu
Eliudi Sanga
2
Mkurugenzi wa Uwekezaji
Rose Metta
3
Mkurugenzi wa Fedha
John Kida
4
Mkurugenzi wa Huduma za Wateja
Valerian Mablangeti
5
Mkurugenzi wa Utumishi
Daniel Sigonda
6
Mkurugenzi wa Kompyuta
Daniel Kissiry
7
Mkurugenzi wa...
Kuna habari ambazo zipo mjini kwamba Somebody Shirima anakwenda kuwa DG NSSF na wamekuwa wakionekana baadhi ya wananchi wakishangilia bila ya matarajio na uhakika wa kile wanachoshangilia.
Inasemekana Rais Kikwete yupo mbioni kumchagua Bw.Shirima kuwa DG wa NSSF... naomba tu kuweka...
Look here, hamna Personal Attack hapa jamaa ana Alergy (Nitakuja hoja na data za watu wa Wizara yake nzima)...maana kama hoja ni kuwa na PhD mbona kuna watu wana PhD nzuri zaidi ya huyo Personal Assistant wake na majina yamekatwa na hawajaitwa kwenye interview...hapa ndio penye tatizo and trust...
Kaka nilifikiri naongea na mtu anayelewa kinachozungumzwa kumbe Kilaza mmoja....hizi scholarship hazijatolewa na Wizara ya Elimu ni Wizara ya Nishati na Madini...Kajipange upya!!
Fairness hakuna hapo yaani hiyo ni zaidi ya Kero ya Muungano...hata wakina Hami J hamna hata mmoja...Kweli Prof sasa naanza doubt nae kama alivyo doubt umahiri wa Sendeka....hata kama ndio ametumwa na kanisa basi hata 2 wa kutudanganya na zile data zao za Board of Tourism kwamba 35% kwa 65% basi.
Mhe. Dr. Dau...Saluuuuuuuuuute!! Huwezi kumjua mchawi kama na wewe si mchawi...anayesema masuala ya Dr Dau Mdini basi yeye ndio mdini namba moja...What u see is what u get? The guy is genius na anajua nini cha kufikiri na kwa wakati gani.....Achane tabia zenu za kishamba za kipinzani ...mwenye...
Mimi nimekwenda Vikindu hapo anaposema mtoa mada na nilifanikiwa kuongea mpk na Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji Bw. Mwinykheri amesema hii issue ni uzushi na wala hawana taarifa yoyote kuhusiana na suala hili sasa jamani angalia msije ingizwa MKENGE mkanunua halafu mkaja kujutia. HAKUNA KITU...
Duuu!!! Kweli mwaka huu mdogo wangu anaweza kuanza kuugua Pressure..Ina maana hawa jamaaa wa TRA wameshaita na zile kazi nyingine au wamesema kwanza na jamaa wa CUSTOMS....maana dogo langu linasubiri hatma yake ya TRA haijui hata ya NSSF maana mpaka sasa hakuna hata beep na simu yake kutwa...
hivi naomba kuuliza...ina maana hizi ambazo watu wanakwenda leo kwenye Interview ni post zote zilizoombwa au ni zile za Customs peke yake? Maana nina dogo langu home naona mawazo tele..
Kweli kabisa Lema ni Jembe la kutisha kwa maana ya ujambazi wake...na sasa hv sasa ndio atajua kama Tanzania kuna sheria ama La...Mwenyewe kajileta kwenye SIASA kakanyaga pabaja...
Huu ni uongo wa hali ya juu...(Kama hujui kitu usibwatuke) na sidhani kama kwa utaratibu huu wa kuleta habari za uongo tutafika unless tupo kisiasa zaidi....mimi nilifikiria JF ndio sehemu ambayo watu wanaweza kupata harabi za makini lkn kwa mshangao sivyo...hakuna issue ya kufeli wala issue ya...
hahaha...nimeamini kwamba sasa hv Chadema hatuna muelekeo..kwahiyo watu kukubalia kwenda mahabusu ni kwajili ya kumuonesha Prince kwamba wao ni FIGHTERS...thats totaly Crap!!!!!!!!!!!!!!...huyu Prince hana mpango na siasa za nchi yoyote..labda mnashindwa kujua tuu kwamba waingereza wen it comes...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.