Mh, jamani mi pia ilikuwa hivo, tumbo kuuma baada kufanya mapenzi ilishanitokea mara 4 katika vipindi tofauti kama kila baada ya miezi sita hv.
nilishafanya vipimo vya x-ray,damu, ultra sound, mkojo n.k hosp zaidi ya nne ikiwemo M'NYAMALA, KINONDONI, REGENCY Mpaka nilipofanya CT SCAN MUHIMBILI...
Nashukuru siku hizi tuna uhuru wa kutoa ya moyoni na watu wakafumbuka macho coz hawa kipindi cha nyuma hatukuweza kuya report;
haya yanafahamika ila uhuru wa kuya report ndo shida..... Muda c mrefu mrefu utasikia mtu katekwa/yupo ana ng'olewa meno bila ganzi.
Inshort yanafahamika sana...
Mimi Mbunge wangu ni Mh. John Mnyika, kwa kweli najisikia faraja sana kuwakilishwa naye.... Coz ana nia ya dhati kabisa na Taifa hili pia historia yake ni nzuri hata kabla hajawa MP.
Kila la kheri Brother,,,,,,
TUPO PAMOJA DAIMA.
___________________________________________
CHARITY BEGINS AT...
Hizo kura bila kulindwa kwa watu kujitolea nadhani matokeo yangekuwa tofauti....
So kama mchango wa kulinda kura hata mi ningechangia hata buku, jamaa wezi sana wa kura....... na 10% yao
ALL THE BEST WENYE UZALENDO WA KWELI.. GG CDM
Thats why i like jamii Forum, hakika inatii kiu yangu, Watu wanelezea mambo kwa kina hadi naridhika...
Mi nadhani umefika wakati Wahusika wakuu yaani Vigogo wanaojihusisha na wanaoilinda biashara hii ya madawa ya kulevya
. IPITISHWE SHERIA YA DHARULA KUWA WATAKAOTHIBITIKA KUHUSIKA NA BIASHARA...
Nilishafanya jitihada sana za kujiunga na hiko chombo bila mafanikio, tokea 2010 mwezi wa 7 hadi mwanzoni mwa 2012,
Napenda sana kuwa M'jeshi hasa kuvaa zile gwanda (JWTZ) ila kwa sasa nimeshachelewa.
bIG UP sana kwa Wanajeshi wote hasa wenye mapenzi mema na nchi yetu.
Mi nadhani wanaweza kayamalia mezani... si kuna vyombo vya usuluhishi? Nadhani huu ndio mda muafaka wa African Union(AU) kufanya kazi yake, kuingia vitani siyo jambo la kheri.
Waitwe wakalishwe mezani nadhani kutakuwa na mengi nje ya pazia.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRICA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.