Hajakuoa na hajakulipia mahari mnaishi wote....wazazi wamelifumbia tu macho ???
Hamjaanza kuzinguana leo....anafikia hatua ya kukulaza nje unaona sawa???
Na kuna sehemu umeandika ushawahi enda sherehe ukarudi saa moja jioni akakupiga.....
Kwa haraka haraka nadhani wewe ndio tatizo.
Kuna namna...
Alikupigia simu umpelekee funguo ...kwa maana kwamba yeye hakua nazo. Lakini uliporudi ukakuta amejifungia ndani? Au alivunja kitasa akatengeneza usiku huo huo?
Mimi ndio sijaelewa au wewe ndio haujaeleweka?
Ooooh mtoto mzuri what a painful and brutal way to die.Mungu awape faraja ya kudumu wazazi na ndugu zake.
Waliofanya ukatili tunawakabidhi pia kwa Mungu ashughulike nao.
Mwanangu akiwa mdogo alitokwa pia na mapele mwili mzima. Miezi minne huyo wako bila shaka hajaanza kula inawezekana ni hali ya hewa, mafuta au sabuni.
Wa kwangu nilimuogesha na sabuni ya AZA baada ya kushauriwa na dokta ma vilipungua na kuisha kabisa nq havikurudi. Sijawahi kumpa dawa. Hizo...
Pole sana kwa familia na wote walioguswa na msiba, Mungu awape nguvu na faraja kwa kipindi kigumu wanachopitia. Kibinadamu sio rahisi kupokea na kuamini ila njia za Mungu hazichunguziki...tutawaweka kwenye maombi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.