Search results

  1. J

    'Shetani' Mtanashati na Amri Kuu 10

    Sasa nashusha nyuzi zako moja baada ya moja..
  2. J

    Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

    Ahsante sana chifu, pia pamoja na kifuatilia naomba nipe mwangaza jinsi ya kupata hizi lishe unazozimwaga hapa nizisome zaidi.. Haya mambo nayafurahia sana
  3. J

    Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

    Sasa mbona nashindwa kuku-follow natumia jamiiforum app kwenye iphone
  4. J

    WHO: Hakuna ugonjwa wa Zika Tanzania

    Kasome taarifa ya CDC halafu urudi hapa uendelee na mjadala
  5. J

    Maxence Melo ashtakiwa kwa makosa 3, likiwemo la Kumiliki Tovuti ambayo haijasajiliwa Tanzania

    Freedom is coming tommorow.. filamu ya bondeni kwa madiba na huo wimbo vyajirudia sana akilini mwangu
  6. J

    Mzee Morris Nyunyusa; Historia itamkumbuka

    TBC ina maktaba kubwa zaidi ya sauti kwa afrika mashariki, na kusini kama sikosei, Historia ya mzee moris nyunyusa ilielezewa katika kipindi cha Star Special cha TBC TAIFA kinachoruka kila jumamosi kuanzia saa kumi na robo jioni, nakumbuka hadi mwanae morris alikuwepo kwenye kipindi...
  7. J

    Serikali ipunguze ombaomba kwa wafanyabiashara

    Hili nalo unaliweka kisiasa, wallah hatutoendelea kwa mwenendo huu, Suala la msingi la kujiuliza kitengo cha maafa kilichopo chini ya waziri mkuu kimeanzishwa lini? Ile bajeti inayotengewa iko wapi? Je imetumikaje hapa? Tunapoongelea maisha ya watanzania wenzetu weka siasa pembeni... Serikali...
  8. J

    Swali la Kiuchumi: Ufisadi Unaweza Kuchangia Ukuaji wa Uchumi?

    Mzazi unalega lega mtoto atakupiga tu. Mzazi ukiwa imara hata mtoto inamuwia ugumu kuanza kukuletea mzaha. Katiba mpya, tanzania mpya
  9. J

    Haya ni majaribu sasa kwa uvaaji huu

    Mguu wake mfupi? Kilema? Au ndio pozi?
  10. J

    Serikali yaipa miezi mitatu Mifuko ya Hifadhi ya Jamii kutekeleza Ujenzi wa Viwanda

    Elimu ni janga ambalo viongozi wetu wanatumia kujificha humo na kutuangamiza, yasikitisha hata hao wanaojiita wasomi hawayaoni haya.
  11. J

    Profesa Ndalichako umenena, sayansi kwa wote itajenga uchumi wa viwanda

    Hivi tuna upungufu wa walimu wangapi wa masomo ya sayansi? Mpaka mwakani watakuwa wamepatikana tena kukidhi mahitaji ya tamko la mheshimiwa waziri? Mie naona imefika wakati sasa elimu yetu ifumuliwe yote, elimu yetu imekuwa yakuwekewa viraka viraka tu. Liundwe jopo maalum la kuleta mfumo mpya...
  12. J

    Cartoon movies

    Penguins of madagascar
  13. J

    Tahadhari kwa vijana wenzangu siku ya tarehe 01/09/2016

    Leo halikugusi kwa sababu mwamvuli wa lumumba wakukinga ila hii ni kansa na inaendelea kusambaa itakukuta tu, na siku utakayo nyanyua kinywa chako kusema muende barabarani mtakuwa mmechelewa sana Mnachoshindwa elewa hakuna uvyama kwenye masuala ya kitaifa katiba ni ya taifa si ya chama.. Kama...
  14. J

    Nitamshangaa sana Nape kama hatachukua hatua za haraka kwenye hili

    Naomba kujua ujuzi wako juu ya uandishi wa habari
  15. J

    Msaada wa elimu ya cameras hasa upande wa lenses na matumizi yale PROFFESIONALLY

    Habari, Elimu ni bahari, na popote pale waweza pata elimu, kwa kuzingatia hilo naleta kwenu wana jamvi, ombi la kufafanuliwa kwa undani juu ya lenses za Digital Cameras kama NIKON au CANON na matumizi yake kibiashara.
  16. J

    Kwanini unapaswa kununua bond au Hati fungani ya NMB?

    Ni kawaida kabisa kila mtu kuweka pesa ya akiba benki, mfano: mtu anaweka milioni 2 kwa kudunduliza kisha anasema hazigusi mpaka pale atakapo pata dharura au kuna kitu anahitaji kufanya siku zijazo, anachoshindwa tambua kuwa katika akaunti ya akiba ile pesa haitojizalisha zaidi ya kupungua, ila...
  17. J

    Je ni kweli mazingira hupelekea mtu kubweteka?

    Habari wana jamvi. "Mzungu ana akili kuliko muafrika", "muafrika hawezi, hana uwezo wa kuwa mbunifu", "Muafrika daima ataongozwa sababu hana akili", "Weusi ni laana" Hizo ni baadhi ya kauli za watu wakijaribu elezea jinsi gani kuwa sisi waafrika tupo nyuma kwa kila kitu na tutaendelea...
  18. J

    Magufuli sasa kufuta ibara ya 46 (3) ya katiba

    Naomba iwe kweli na hicho kifungu kitolewe. Ila kwa ufahamu wangu, mtu aliyetenda kosa jana hawez hukumiwa kwa sheria iliyoundwa leo.. Ila ni good move itawanyoosha wanafuata baada yake
Back
Top Bottom