Nahangaika na mbeba boga Fala wa kukurupuka, mi naongelea kivuko cha busisi Kigongo Mwanza na pale daraja linalojengwa ni Daraja la Magufuli liko Mwanza. wewe uko kurasini,ndo nikasema kuna uhuni wa uliopindukia kuliko hata hapo Kigamboni, watu wanahangaika kuhonga mgambo wa Suma JKT...
Daraja halijakamilika, bado lipo kwenye ujenzi na hayo malipo uliyasikia wapi au unatumia hisia zako tu kuleta maneno ya jeuri wakati watu wanateseka .Maamae kabisa
Kabisa, watu wanahonga sana pale ili aweze kupata nafasi ya kuvusha gari, kusubiri kwenye foleni zaidi ya masaa 8 ni kitu cha kawaida sana kama una Kigari chako.
Yaani hakuna mtu aliyeinyima simba ushindi mwingi kama Mugalu,halafu akawa kipenzi cha Pablo,Pablo ,Motorola na benchi love la ufundi wapishe,scouting team yote ifumuliwe
Mkuu soma kwa utulivu upate maana, ni kweli unachokisema ila kuonekana kwa uzito wa athari hizo pia inategemea mtu na mtu na vilevile kupata athari kutokana na kisababishi (causing factors) fulani kuna "factors" nyingi tu ,ikiwemo uimara wa mwili wa mtu mwenyewe na hata kiwango (dose) cha...
i
"EMPHYSEMA" una uhusiano mkubwa na uvutaji wa sigara , bangi ,Hewa yenye kemikali pamoja na mavumbi.
Ungonjwa huu huathiri vifuko vya hewa kwenye mapafu "alveoli / air sacs" ,vifuko hivi hupasuka na kutengeneza eneo/maeneo makumbwa yanayokuwa na hewa kwenye mapafu badala ya vifuko vidogo...
We ni kabila gani? kuna kabila fulani kanda ya ziwa wanakula mbu na watoto wa sato (fulu), wanawake wa ukanda huo
(si wote isipokuwa asilimia kubwa ni tatizo) wana sifa ya viburi mtindo mmoja,wajuaji kwa kwenda mbele hawajui kupika ni michemsho tu maneno mengi wakati wanamiliki fulu na udaga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.