Natumai itakua mawazi tu ila hawezi kuongeza muda
Mipango inayo indelea nje ya uwanja halimhusu Klopp tena amesha sema nguvu ya ziada hana nitashangaa sana akibaki.
Natamani mabadiliko na muda ndo huu.
Amecheza mechi zake za karibuni kwa mpangilio Sanaa nimeona mechi ya united alivo wapelekea moto na jana kampumzisha mtu 6 kwa ajili ya hii mechi kazi tunayo.
Kipara hatanii
Huyu mzee huenda alikua hataki shauli za wengine mana ilikua hata tukishinda ushindi mnono bado alikua hapangi vijana anawaganda kina Milna wake bilashaka kachoka kweli.
Huyu dogo sijui ni fabi ajae au Gerrard ajae?
Mimi nnacho amini tutakua Tim ya makombe
Tim ni mzunguluko wa watu kumtegemea 1 tu silipendi
Alivo ondoka Buvak Tim iliyumba mpaka alivyo kuja Lijernder ikakaa sawa
Yani unawazo tutarudi huko?
Ikiwa hivyo ni Bora kuliko kubaki nae hafu tuishie kutapika tu tupo kaa vifaranga Kila siku labda msimu huu
Ni maoni tu lakini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.