Ni ujinga kuchoka kusikia au kuambiwa jinsi mali yetu inavyoibiwa. Ni upumbavu kufikiri kwamba mwenye dhamana ya kusema kwa niaba ya wananchi ni kiongozi wa serikali na Chama cha siasa tu. Mwananchi yeyote anayo haki na dhamana ya kusema kwa niaba ya wananchi wenzake. Ni haki ya kila mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.