Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 Nina mke mmoja ambaye ni mjamzito, Tatizo langu maisha yangu yamekuwa na mikosi au kivingine mazingaumbwe, kila napofanikiwa kidogo napata matatizo makubwa sana kama kutokewa na nguvu za giza ndotoni au hata nikiwa kwenye pilikapilika.
Juzi kati Rafiki...
Inauma sana kura yako unapoipoteza kwa ajili ya Kanga, fulana au kofia....Ewe rafiki yangu uliye na wazazi nyumbani wakati ni huu wa kuwabadilisha kifikra kwani hivyo vitu haviwezi kukusaidia miaka mitano ila kura yako inaweza leta mabadiliko ya kizazi hadi kizazi
Nimepita sehemu mbalimbali za jiji la Dar es saalam na kujionea mateso wanayopata wamachinga.
Niliweza kuongea na wafanyabiashara wadogo wadogo wawili watatu, kwa kweli machozi yalinitoka kwa jinsi mgambo wa jiji walivyoharibu mali zao na nyingine kuwatapeli kabisa, mbaya zaidi wafanyabiashara...
kwa sasa nipo field mbeya nasoma tanga chuo kkuu cha eckernforde! nina kiprot kama heka 1 je naweza enda bank na kukopa ili nifungue biashara? hati milik nnayo
kwa sasa nipo field mbeya nasoma tanga chuo kkuu cha eckernforde! nina kiprot kama heka 1 je naweza enda bank na kukopa ili nifungue biashara? hati milik nnayo
Ndugu wanajamvi nimekuja kwenu naombeni msaada wa jinsi ya kuchanganya chakula cha kuku wa nyama kwani napata shida sana kutoka kwa wauzaji kutokana na bei zao kuwa juu mara kwa mara.
Nimeshudia dogo wisman mwenye miaka 23 aliyetoka mbeya kwa miguu hadi hapa jijini dsm tokea siku ya jumatano kwa ajili ya kwenda kutazama mechi ya taifa stars, kama ni uzalendo dogo kazidi kwani kwa nilivyomshuhudia huwezi amini kama ndio yeye katokea dar hadi hapa
Maisha si ya kukurupukia ukayaona madogo kama wachezaji wa ARSENAL,ukataka kuyapata kwa kupendelewa kama MAN U,usitake kuyapata kwa nguvu kama wachezaji wa CHELSEA,usiyatafute kwa kushtukiza kama mashambulizi ya REAL MADRID,usiyatafute kwa kutumia gharama kubwa bila mafanikio kama MAN...
Nyumba ipo Kinondoni Manyanya ina hati kila kitu, ipo sehemu mzuri kwa biashara kwa hiyo unaweza kubomoa na kutengeneza ghorofa ambapo ukaweka hoteli, benk, bar nk. Bei Tsh 270ml
Kuna rafiki yangu tunapendana sana tokea tukiwa wadogo mpaka hivi sasa yaani ndio rafiki wa ukweli, ila mwaka jana tuliporudi likizo nyumbani kwetu vijijini baada ya kula kula sikukuu ya krismasi na mwakampya tulirudi zetu mjini ila kuhusu mahusiano nilikuwa najua anatoka na Classment wetu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.