natumia simu ya batani (kitochi 4g) tigo. Huku niliko tigo aipatikani kwahiyo natumia laini ya halotel ambayo network inasoma E (edge au 2g)
Mimi pia naona kama wapinzani wangu ndo wanafikilia sana lakini kumbe ni network ya vijijini na simu ambayo siyo tachi.
kwahiyo uniwie radhi mkuu...
playok. ni platform mzuri kwa sisi wanamchezo wa draft. waliowengi mule wanaujua kwelikweli huu mchezo ila wengine ni janjajanja tu. makosa ya kiufundi ya platform hii ni kile kitendo cha kumpa ushindi table operator kwakuwa muda aliouseti yeye ukiisha. utakuta mtu anaweka dk 1 mchezo upokati...
Kuna hii inaitwa mediatek dimensity 9000 ni chip yenye ubora zaidi ya chip zote za qualcomm snapdragon (ukijumuisha sd 8 gen 1). Hii chip imezidiwa kidogo na apple a15 bionic tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.