Search results

  1. B

    Jerry Muro: Lema alikuwa Rasta, kazi zake za usiku sijazisahau!

    Kwani Jerry Murro ni nani nchi hii? Au anataka nafasi ya H. Pole pole CCM?
  2. B

    Bagamoyo Port: Serikali imewapa hisa zote wawekezaji wa Kichina

    Mmesoma mkataba wa Hiyo Bandari ya Bagamoyo au mnapayuka tu hapa kama machizi? kuna vipengele vya huo mkataba ni vya hovyo kabisa.... kimoja kinasema kuwa..." Bandari ya Dar. haitaendelezwa wala kuboreshwa wakati Bandari ya Bagamoyo ikiwa inaoperate"... sasa vipengele kama hivo mnajua maana...
  3. B

    Ni kweli watumishi 28,000 walikuwa wakilipwa Shilingi Bilioni 526 kwa mwezi?

    Tutapata Majibu sahihi tu, hata mimi Jana nilishtuka sana kusikia hizo data, wizara ya fedha itoe ufafanuzi kwenye hili swala.
  4. B

    Siku Kikwete akizungumza nchi itasimama

    Hata msemeje, JK, hakufaa kuwa Rais, ukiniuliza mimi JK. kafanya nini ndani ya miaka 10 yake nitakuonesha UDOM tu na Rock City Mall ya Mwanza, sioni kitu kingine... JK. alifanya vitu vyepesi mno, na muda mwingi akautumia ughaibuni, acheni ujinga... Magufuli ndiye Rais, na namkubali kupita...
  5. B

    Bloomberg: Tanzanian Leader's War for Taxes Puts Economy in Firing Line

    Pumbavu zenu, hata the new york times lingeandika, hatutishwi, potelea mbali, bado nipo bega kwa bega na Mh. Rais, hata kama tutashindwa vita hii ya kiuchumi sawa tu, cha msingi moyo wangu upo pamoja na nchi yangu Tanzania.
  6. B

    Sababu za Tanzania kushindwa mjadala wa Makinikia

    mleta mada ni punguani wa mwisho
  7. B

    Wakina Tundu Lissu na TLS yao waonywa Kuhusu Mgomo, wajiandae kujibu Mashitaka

    Wote nimewaelewa, nitafata kile Moyo wangu unanituma.
  8. B

    Yupo wapi mwanahabari na aliyekuwa DC, Novatus Makunga?

    Yupo Sahara Media, kuna nini kwani?
  9. B

    Rais Magufuli: Mwijage unanikwaza kwa kushindwa kufuta viwanda visivyoendelezwa

    Tanzania bila ubabe hakuna maendeleo, namkubali sana JPM, tulizoea kubembelezana na kuoneana haya, enzi hizo kwishinei Ndio maana sikuwahi kumkubali JK tangu 2005 hadi sasa. Naona Tanzania mpya ikija kwa kasi, ni wenye akili timamu tu ndio tunaliona hiloo
  10. B

    Mazungumzo yale yanakwenda vizuri?

    Kwani Muhongo ndiye alisaini mikataba ya madini na wawekezaji? mbona unyumbu haukuishi?
  11. B

    Kuhusu kuitisha kura ya maoni

    Muda ukifika tutamuongezea tu, asiyetaka ahame nchi hadi 2035
  12. B

    Kama Star TV wamefunguliwa, tegemea maajabu ACACIA

    Kwa hiyo unalinganisha hivyo vi-bilioni 4 vya TV na Trilioni 425 za ACACIA!!!???? mbona hujiulizi kuwa IPP media anadaiwa Bilioni 16 na TRA na AZAM anadaiwa Bilioni 40?
  13. B

    Nasubiri kuona hatima ya msemo wa "masikini jeuri"

    Pumbavu- Jinga wewe jitu Zima hovyoooo, subiri uone mauti yako kahaba wewe
  14. B

    JF exclusives: ACACIA mining vs Government of Tanzania

    Nashauri pia kuwa TISS na vyombo vya dola viwe macho kuanzia sasa, Idara ya habari maelezo iwaite wawakilishi wa vyombo vya nje waliopo nchini na wawakumbushe kufanya kazi kwa weledi na kwamba hatutasita kuwatimua nchini au kuwafungia kufanya shughuli zao nchini. Pia, Wale watakaokuwa...
  15. B

    JF exclusives: ACACIA mining vs Government of Tanzania

    Watanzania wote pamoja na media zote huu ndio wakati wa kuungana kama Taifa. atakayekwenda kinyume na Uzalendo apigwe risasi tu, Vile vile, napendekeza TRA wajiandae kwenda kufunga mageti, ofisi na mgodi wote wa ACACIA
  16. B

    Sheria ya serikali ya rais Magufuli kuhusu madini yawakaba wanyang'anyi

    Safi sana, wanatishia tu, baada ya muda watarudi wenyewe kuomba kufanya investment, uzuri, Rais Magufuli anayo miaka 8 zaidi madarakani hivyo ni kipindi kirefu sana, hawawezi kukaa muda wote huo, na ukumbuke kuwa China naye anataka kuwekeza pamoja na Russia, hivyo kwa kipindi kifupi sana...
Back
Top Bottom