Safi Kabisa !
Yeye achape kazi na ataproof wrong at the end of her tenure.
Hii anayoisemasema anajishusha mwenyewe.
SSH, My President ikiwa utapitia hapa leo, Tafadhali usirudie zile kauli za kujishusha na kujilinganisha, Fanya kazi na Kazi itakuinua yenyewe.
Ndaga lelo, Kyala Nnyaafu.
Ngwanakilala,
Nikushukuru mtoa Mada, Uchambuzi mzuri,
Kutokuwa na taarifa na uelewa wa nini ufanye na wapi ufanye imeathiri wengi,
Nina imani hii tafakuri uliyoianzisha itatuletea wabobezi wa mambo ya Business Planning, Finance Management na Risk management ili angalau watu wajue akiwa na mtaji...
Naam, Ni kweli maana Fredrick De Clerk ni kati ya wanafunzi waliosoma Iyunga Secondary School ( Zamani), ambayo ilikuwa shule pekee ambayo watoto wa Kizungu kabla ya Uhuru walisoma pale, Ukiangalia na miundombinu iliyokuwepo pale shuleni utaona upekee wake...
Mlawi kwa sasa ni wale wanaotumika Kanisani, ukichukulia hawana kazi nyingine ya kufanya zaidi ya kutumika Kanisani, hao wanastahili wote kupewa sadaka ya ZAKA..
Siyo feki ila anayehubiri anaweza kuwa feki usijumuishe hivyo, Utakuwa unakwenda kinyume na Biblia, Sema kuna Makanjanja wa Neno la Mungu, hao wasituondolee ukweli wa Maandiko..
Wakati wa Torati zaka ilikuwa Sheria, Wakati wa Agano Jipya kutoa ni Uchaji...ila haizuiii kutumia sheria ya Torati maana haina shida, Kinachosumbua wengi ni nani anastahili kupewa Zaka, Jibu liko wazi katika Biblia, Ni mhitaji mfano: Yatima, wajane, Mgeni katika malango yako ambaye amefika bila...
Zaka ni 150,000 peleka kwa Yatima, Wajane, Wageni wajao pasipo taarifa, Kanisani kwako,na Mchungaji wako. Peleka kwa hao utabarikiwa tu, Ni uchaji wako siyo sheria!! Unaweza kutoa zaidi ya hapo ukipenda kutoa..
CRDB,
Afisa Mahusiano wa CRDB/ Customer Manager,
Hakikisha unachukua hizo hoja na kuziwasilisha kwenye vikao vya Management, myafanyie kazi na kuonyesha kujali hasa mnapopewa dukuduku kama hizi, hata kama zingine siyo sawa lakini kiujumla kuna wachangiaji wameonyesha kuumizwa na makato yenu...
James Comey,
Great...What a wonderful citing...
Paulo alikufa kifo cha Kinyama...na alimtumikia Mungu kwa Kiwango Kikubwa sana, Inasadikika, He is a Powerful Peron after Jesus, Lakini walimkata Kichwa hawa akina Nero..huko Roma...
Mbere...Unaona hiyo nyongeza ya James Comey...Kwahiyo si kwamba...
Nimecheka kwa namna Moyo wako unavyotafuta sababu za Kukata tamaa, umeziorodhesha na zina ukweli wa kutokea na zina mashiko..Lakini Mungu bado alikuwepo wakati ndugu zetu hao wanakufa kwa mateso, haimuondolea Omnipresent yake...
Kikubwa Usikate tamaa, Mungu yupo kukusaidia, Amini tu...
Ndaga Tata>
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.