Ni Ujasiri wa Ubinadamu na Upendo wa Taifa letu peke yake unaweza kumsukuma mtu kuja na hoja kama hizi. Huu ndio Utanzania na Uzalendo kamili. Mungu awabariki kwa hoja zenu pale atakapokuwa anaibariki Tanzania mpya, imara na iliyonyooka china ya uongozi uliotukuka kikazi wa JPM.
Mheshimiwa unakosea sana.
Tanzania na mifumo yake yote ya Uongozi ni kama "spoiled child". Kwa sasa haijiwezi lazima ipitie nguvu na mamlaka fulani kuipasha na kuinyoosha.
The only initial way ya kuanza kufanya corrections kwake ni masahihisho yeliyobebwa na NGUVU NA MALKA yenye nia nzuri...
Uzi ueshafika mbali sana huu
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/976044-hospitali-kuu-ya-taifa-muhimbili-yapokea-vitanda-na-magodoro.html
Kitucha kujifunza hapa sio hicho kila mtu anachokitolea maelezo.
SOMO ni kuwa Taifa hili Lina uwezo mkubwa wa kujitegemea na kufanya mambo makubwa sana ya kimaendeleo bila ya msaada wowote toka nje.
Sikubaliani na namna JK anavofanya mambo mengi ndani na nje ya chama lakini nasema; Huyo Kagame afunge mdomo wake na akae kimya.
Keep busy with your country .. Wachana na Sisi You Psychic Vampire.
Wewe ndio umeongea jambo la msingi. Its useless to compromise even go negotiate with a core terrorist like ISIS ... ! Chagua kijasiri kabisa Kifo ndani ya Yesu kwani utakuwa hujafa ndani ya kifo hicho. Kifo isn't that real inategemeana na settings zako za kiroho.
Hii taaerifa muhimu sana.
Dogo ni mgonjwa wa kisaikolojia. Yatima huyu. Mapenzi ya Mama aliyoyakosa utotoni ... anafanya ..compensation .. ukubwani ... Stop the drama akatibiwe.
AKATIBIWE ....
Toa thread yako ya hovyo hapa. Mtu anakubaka wiki nzima kapoteza Uungu na katawaliwa na Shetani . Unamlinganidha na Mtu mwenye Uungu na maadili ya kibinadamu anakupigania na kukuokoa ... Unawaona wote sawa.
Unamuona Mungu na Shetani wote sawa.
Kama wewe sio Shetani Wewe ni nani? Jishtukie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.