Jamani kwa mara ya kwanza naomba niweke mada. Kuna mwana jf m1 anaitwa BASIASI siku ya tar 8 july 2013 alitoa post inayohusu BEI ZA MAKAHABA KUPANDA DAR na akataja moja ya dangulo la makahaba lipo UDSM HALL 3, kiukweli mimi ni mwanafunzi na ninaishi hapa huu mwaka wa tatu sijawahi ona iko kitu...
swala la kujiuzulu linakuja pasipo shinikizo la mtu kwa hiari ila MB kagasheki amejiuzuru kwa shinikizo la kikazo cha dharura kabla ya PM kutangaza uamuzi wa raisi kimsingi alitaka sifa walifukuzwa na Chama si kujiuzuru
tangu walipokuwa
wakipigana ndondi za ridhaa hadi walipohamia
kwenye ndondi za kulipwa.
Ni familia ya mzee Ally Matumla, inayoundwa
na watoto zaidi ya 10, wakiwemo wawili wa
kike, lakini ni wachache walioweza kuchomoza
vyema katika mchezo huo, wakifuata nyayo za
kaka yao, Rashid Matumla...
acheni fujo huyu jamaa sio MKWANDA anaitwa MBWANA MATUMLA tunaishi nae mtaani na sasas hayupo takribani siku 16 kwao ni bondia nahisi wamekosea kuandika vizuri mahofisa wa Ethiopia, familia ya kuna matumla haina Mkwanda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.