Huu uzi umenivuta aisee.. Nna experience nyingi sana za kunnua malaya.. Ngoja nipange uandishi afu nije nielezee mara zote nilizonnua kipi kilinivuta na experience yangu nzima na malaya.
Ila kiufupi tu mara ya kwanza nannua malaya ilkuwa just out of curiosity!
NITARUDI
Sent using Jamii Forums...
Kwa suala la stability I can't say kwa sababu siijui vizuri mitsubishi.. Ila kwa Durability, Long safari pamoja na kuuza huko mbeleni Forester inachukua nafasi ya juu.
Japo Forester yenye turbo na cc 2500 ina kula zaidi kuliko mitsubishi ambayo pia ina cc almost 2500 pia.
Ila I would...
Mkuu naomba unishauri kati ya BMW 3 series 318 au 320 zote za 2011 bora ipi? Na zote kwa pamoja ukilinganisha na AUDI A4 ya 2010? Kwa mazingira yetu ntaishi nayo na service zake vipi?
Pia vipi kuhusu gari kutoka Singapore unaweza kushauri mtu kununua kutokea huko?
Naomba uzoefu wako.
Sent...
Msaada kwa anayefahamu utaratibu mzuri wa kuingiza magari kutoka Singapore. Maana nilifahamishwa kwamba yenyewe yakiingia nchini yanakuwa hayana certificate of inspection na hivyo inabidi kupeleka NIT likakaguliwe.
Kwa anayejua costs za ukaguzi NIT na taratibu zingine na kama ni lazima kwa gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.