Huu utakuwa uwongo mtakatifu. Kwa akili ya kawaida kabisa hauwezi ukakopa 500mn ukarejesha 900mn ndani ya miaka 5. Ina maana riba ni asilimia karibu 20 na hakuna marejesho ya mkopo yaani principal mpaka mwaka wa mwisho? Uwongo wa kijinga. Hizi ni kama mtu anachuki hivi na serikali ndiyo anaweza...
U
Ikiangalia jinsi hawa Acacia na makampuni mengine yalivyotuibia hauwezi kushangazwa na kilichoandikwa. Huyu mwandishi ameandika alichotumwa. Na waliomtuma ni hao hao waliotuibia. Hapa Mhe Rais akaze kamba zaidi mpaka tupate fair share yetu.
Ninaunga mkono 100 kwa 100... hii miswada kwanza ni mifupi na inaeleweka kabisa. Kwa mzalendo yeyote yule hawezi kupinga hichi kilicholetwa. Kudos Mhe Rais... tupo nyuma yako.
Hapana madini, nina njaa sana tu, lakini najaribu kuwa mkweli na kuangalia vizazi wajao, nina watoto kadhaa na ninategemea wajukuu kadhaa wa kadhaa. lazima niangalie maslahi yao. hii budget ni mwokozi kwao
Simply put, Mh Zitto yupo very very wrong. Hauwezi kusema 1% ya clearing charge kwenye madini ni "nothing". Upunguzaji wa production cess kutoka 5% mpaka 3 na 2% ni nothing? pia, hizi kodi zilizopunguzwa kwa makampuni ya kuunganisha mitambo/magari nazo ni nothing? Final withholding tax ya 5%...
Napenda kutoa wazo kwamba, kwakuwa tumeishi kwa udugu, umoja na amani, kwa miaka hii 50 na kwakuwa tumekuwa na muungano wa kipekee duniani, wenye mafanikio makubwa sana na kwakuwa sherehe hizi muhimu zimeangukia Jumamosi, na kwakuwa watanzania kuanzia Pemba mpaka Mtwara, Moshi, Bukoba na sehemu...
Kama umeenda shule hata kidogo utajua kwamba maswali ya kujielezea hayawezi kufana kwa watahiniwa wote pasi kuigiziliana. Sasa ukiona mawazo ya kamati 12 yanasema kitu kimoja uwe na mashaka, kama unafikiria lakinj; ni sawa kabisa kwa walio wachache kuwaza tofauti na kujenga hoja ile ile kwa...
Nakuunga mkono kwa asilimia 100, alikuwa anaropoka ropoka tuu siasa bila ya any substance, tungewaiga wakenya kuwa na mawaziri wasio wanasiasa active ingesaidia sana hii nchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.