Mambo ya siasa yanachanganya sana.
Sasa yule katibu wa CCM alipeleka taarfa gani na alienda kukagua nini.
Huyu Makubi ni Professor na Katibu mkuu wa wizard ya Afya,
Kapeleka salamu za Mama yake aliyemteua ni sawa, sasa na Najiuliza yule alipeleka salamu za tweeter?
Wana siasa kwa kiki...
Yaan...
Nenda 7 7 maonyesho,Tafuta banda la Nida.
Ukilipata umekwisha.
Unachotakiwa kufanya,Piga picha za passport size,nenda serikali za mtaa wakupe barua ya utambulisho,kisha nenda stationary waambie wakupe form ya nida(,Kama hana,ana download kwny Website husika.)
Ukiipata hiyo jaza taarfa zako kwa...
Hii imekaa spiritual Zaidi.
Unapomgeuza juu chini.
Yaani mke awe juu mume chini(hasa kwa wana ndoa tu)
Ki roho unakuwa una kabidhi mamlaka kwa mwanamke.
Matokeo hayawezi kutokea kufumba na kufumbua ila baadae huko mbeleni,Mwanamke atakuwa na nguvu kubwa ya kukudhibiti kimaamuzi kuliko kawaida...
Kuna some Pimbi wengi bado wanaishi kwenye maneno ya Tanzania ni nchi maskini.
Bwasheee ukitajiwa Rasilimali za nchi hii utajificha chooni kwa aibu.
Nchi inatafunwa na wachache huko wanajiita wana siasa.
Na hao kwa kujificha kwny mwamvuli wa kutafuna pesa za nchi wanaambia wananchi.
"NCHI NI...
Hivi huwa mnafikiriaga kwa kutumia akili gani kuwaza,
Hivi unaingiliaje kati, jambo ambalo ww umelitengeneza liwe hivyo lilivyo?
Ni sawa na kumroga mwenyewe mwanao kisha ndugu wakushauri umpeleke kwa sangoma amponye.
Ungekuwa ww kuweza?
Hapo cha maana cha kufanya ni mabadiliko ya kiuongozi na...
MUNGU HACHELEWI WALA HAWAHI ni Tafsri ya vifungu hivi vya maandiko.
“Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.”
— Habakuki 2:3
“Maana mimi ni Bwana; mimi nitanena...
Tuweke Record ndogo hapa kwaajili ya kumbukumbu.
Tarehe 22Machi 2020.
Watumishi watano wa Shirika la Reli Tanzania TRC walifariki kwa ajali ya treni ya uokoaji iliyogongana na Kiberenge Na. HDT-3 katika eneo lililopo kati ya Stesheni ya Mwakinyumbi na Gendagenda katika reli inayotoka Ruvu...
Sasa wanaopita wa ndani na nje ya nchi wanakusaidia nn ww mvuvi wa Rufiji.
Yaani tuache kutumia barabara zilizojengwa kwa kodi zetu ,tujifiche kisa wa kimataifa wanapita?
Ngorongoro wanahamishwa vurugu kila kona kisa wakimataifa.
Sasa wenye nchi washughulike wapi sasa ikiwa kila mahali...
Tukimaliza Suala la chakula cha watoto,
Tuje suala la posh ya nauli kwa walimu.
Hawana posh kabisa wanafundisha kwa stress sana,kiwango cha ufundishaji kinakuwa chini mno,maana madeni ya kwa mangi,mikopo,wanasomesha na wao kodi ya nyumba tcheee full stressed.
Hawa ndo wasomi wetu,hawajuj umuhimu wa Mahakama,hawajui haki zao,hawajui uonevu.
Wao ni kulalamika tu. Mwananchi,mkulima,mfanyakazi,msomi wote ni kulalamika tu.
Kuna member humu alishawahi leta kisa kama hicho,muda kidogo umepita.
Alikuwa morroco kama sikosei zebra,yupo mbele kabisa akasimama kusubiri watu kuvuka,wakavuka wakaisha akajiridhisha kuondoa gari.
Lkn pembeni kuna kijana alikuwa kasimama anaongea na simu alionekana ni mtu mwenye mambo yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.