Moja kwa moja kwenye mada,
Mwezi June nilipokea sms kuwa kuna jamaayangu kaniweka kama mtu wake wa karibu na amekopa pesa ameshindwa kurejesha. Nilishtuka sana, nikapiga kujua ni milioni ngapi kumbe ni elfu 25,000. Baadae jamaa nikamuuliza akacheka, akanieleza ni mikopo ya online ila...
Sijui kwa takwimu ni idadi gani ya wahitimu wa kozi tajwa hapo juu ambao wameingizwa kwenye soko la ajira toka vyuo vikuu kuanzia mwaka 2015. Idadi ya walimu wa sanaa 74 walioajiriwa kupitia tamisemi haihitaji kuwa na elimu ya takwimu kujua kuwa taaluma hiyo siyo kipaumbele tena kwa sasa.
Ni...
Ajiraportal imekua kilio kikubwa kwa vijana wengi wanaotumia mfumo huo kuomba kazi. Kuna changamoto zinazojitokeza na pindi mtu anapohitaji utatuzi wa kimfumo, hakuna msaada. Namba za simu zilizowekwa na ajiraportal kuhudumia wateja ni aidha hazihimili wingi wa watu wanaotumia mfumo huo kwa sasa...
Waombaji ni ~700k
Wanaohitajika ni ~ 205k
Idadi ya halmashauri ~185
Ukigawa hapo ni kama 1k kwa kila halmashauri
Watu hao wataweza kufanya hiyo kazi kwa takribani kata 4000 nchini kwa ufanisi? Ninachoona kuna possibility ya kuchukua nusu ya watu na tena wasitosheleze.
NB: Prediction ya sensa...
Salaam wana JF,
Naombeni ushauri wa biashara ya kuchana, kusafisha na kuchoronga mbao kwa hapa Dar. Kuna eneo langu lipo center nzuri ya makazi mapya na kutokana na kukosekana kwa kiwanda karibu au mashine za kuchana(kuzalisha) mbao, kusafisha na ku choronga, nikapata wazo la kuanzisha mradi...
Benki ya kilimo ilianzishwa kwa lengo la kukuza sekta ya kilimo nchini kupitia uwezeshaji na mikopo. Lengo lilikua zuri kwani malengo hasa ilikuwa kuwafikia hadi wakulima wadogo. Leo hii bank hiyo imerudisha jukumu hilo kwa bank binafsi na za biashara ambazo ukiritimba wao ndio uliopelekea...
Juzi juzi serikali ilitangaza itaajiri maelfu ya watu ndani ya mwaka huu wa fedha 2021/2022. Mara baada ya serikali kutoa kibali cha ajira, sekta ya afya na elimu walichangamkia nafasi hiyo kupunguza uhaba wa watumishi kwenye kada zao kwakuweka tangazo kupitia tamisemi. Mwaka wa fedha unaenda...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Nahitaji kujua toka kwa wafanyabiashara wa pikipiki au watu walionunua pikipiki tajwa siku za karibuni kwa Dar bei ni ngapi? Pia namba kufahamishwa ni idadi gani mteja anawezakununua akauziwa kwa bei ya jumla ili nae akauze mikoani?
NB: Zimeadimika sana...
Nduguyangu amekwama kutoa mzigo wake bandarini. Anahitaji mkopo wa dharura wa 4m kwa riba watakayokubalian na mkopeshaji. Dhamana aliyonayo ni kiwanja. Kina ukubwa wa 450 SQM, ni cha biasharara/makazi. Alikinunua mwaka 2013 serikalini kwa 4m na kina hati.
Kwa anayewezakumsaidia naomba...
Nilikuchezea sana miaka ile uliponitembelea. Sikukuchukulia serious. Niliamini tungekaa pamoja hadi kifo, kumbe ulikuwa unapita tuu. Sikujua ilivyo vigumu kukupata. Umeniachia kumbu kumbu nzuri na nyingine uliondoka nazo. Kwasasa ni machungu tuu nikikumbuka nilivyokuchukulia wa kawaida...
Salaam wana JF,
Naombeni mnifafanulie nijue kisheria limekaaje hii jambo.
AC ya ofisini ilikuwa imeharibika, jamaayangu akanipa namba za fundi mmoja ambae alidai ni mzuri na alishawahi kumtengenezea yake vizuri. Nikampigia akaja, akaicheki na kusema inabidi iende ofisini kwake akaitengenezee...
Salaam wana JF,
Nimetumia plywood kama kuta za banda la kuhifadhia bidhaa zisipigwe na jua. Kunyeshewa mvua za wiki mbili tuu imebadilika rangi na kuwa nyeusu. Nikashauriwa, nikapaka rangi ya mafuta upande ambao haukuwa umenyeshewa ila haikamati.
Nifanyeje wakuu?
Salaam wana JF.
Naombeni uzoefu kwa mliowahi kutumia au mnaotumia CCTV camera iwe nyumbani, sehemu ya biashara au ofisini. Ni camera ipi inafaa kwa sehemu kama bar ambapo usiku kuna mwanga hafifu? Bei zake zipo vipi? Binafsi nahitaji camera ambayo itasevu picha kwenye pc au memory card yake.
Salaam wana JF,
Kuna fremu ya biashara nilikua nimepanga sehemu na kwa wakati huo hapakua na umeme. Nikaamua kulipia tanesco nikafungiwa umeme wangu. Kwasasa nimehama ile fremu na nimehamia maeneo hayo hayo kwenye fremu yangu binafsi niliyojenga, hivyo naomba kujua kama naruhusiwa kuhamisha mita...
Umofia kwenu wana JF,
1. Kwa siku za karibuni kumekua na utaratibu mpya ambao ajira nyingi za serikali na taasisi zake zinahitaji kigezo cha cheti cha JKT. Hii imepelekea vijana wengi kukosa sifa za kulitumikia taifa kisa tuu hawakupitia JKT aidha kwa hiari yao wenyewe au kwakukosa nafasi za...
Salaam wana jukwaa,
Kuna eneo(kiwanja) nahitaji kununua sehemu. Ila ni kama kuna utata kuwa ni kwaajili ya makazi au biashara au yamkini ni eneo la serikali kwasababu kipo karibu na eneo la soko. Hivyo nikaona ni bora nitafute taarifa za eneo husika nisijekuingia mkenge.
Nawezaje kupata...
Hello wana JF,
Naombeni ufafanuzi wa kisheria juu ya swala hili: Endapo mtu amemdhamini mtu polisi ambae anashikiliwa kwa kesi ya utapeli au wizi wa kuaminika halafu akatoweka na asipatikane kwa zaidi ya miezi 6, 1) Mdhamini anaweza kuhukumiwa kwa kosa lake?
2) Je, naye anaweza kupewa dhamana...
Wakuu salaam kwenu.
Naomba kujuzwa gharama na ubora kati ya paving blocks au kokoto kwenye eneo la biashara lenye mita za mraba 40. Kama ni kokoto ni za aina gani na kama ni paving block ni zipi.
Pia naomba kusikia experience toka kwa wadau wanaotumia kimoja wapi kati ya hizo kwenye maeneo...
Salaam wanajukwaa.
Nahitaji ushauri na uzoefu juu ya jambo hili. Nahitaji kujenga choo kidogo cha kisasa pasipo kutumia tofali kwenye kuta. Chemba ipo tayari na sink zipo tayari, kinachoniwazisha ni kitu gani (material) ninayoweza kutumia kama kuta ambayo inasafishika kirahisi kama ilivyo tiles...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.