KWa mtazamo wangu na Experience niliyo nayo kwenye utumiaji wa Simu za Mkononi ninapata shaka inayoniaminisha kuwa wezi wa mtandaoni wanashirikiana na watu wa Simu, siamini kuwa hawa provider wanahitaji kufanya kazi kubwa kumpata mwizi wa mtandaoni hasa wakiashaambia number ya mtu aliye tapeli...
Ndg Star Times,
Minipo Arusha Maeneo ya Mianzini – Ikiurei naitwa Pius
NInatumia Kingamuzi no 02035295385
Natak kujua mbona ninapoangalia inaniambia no Signal au not Subsribed, sipati hata TBC je shida nini?
Nisadie tafadhali
FOR IMMEDIATE RELEASE:
Ilboru Safari Lodge
Arusha
Tuesday, 12 March 2019
RE: INCIDENT AT ILBORU SAFARI LODGE
We would like to advise our tour operators and the general public about an incident this morning at Ilboru Safari Lodge. Please be assured that the lodge is open and functioning as of...
#Kiduni nafikiri ni vema ukafahamu kuwa Team Lowassa Iikuwa Nchi nzima na hilo unalifahamu, hivyo sitegemai kuwa Lowassa alikuwa kipenzi wa kila mtu na hakuna mantiki kuwa rais akitoka kwenu basi lazima kuwe na maendeleo. Huo ni mtazamo tu wa watu wasiofikiri. Watu wa Arusha tunataka RAis Bora...
Kwa taarifa yako Arusha hakuna ukabila ila WATU HASA WANASIASA WANAJARIBU KUONYESHA HIVYO, ARUSHA NIMCHANGANYIKO WA MAKABILA YOTE NA TUNAISHI PAMOJA SANA KINACHOTUTOFAUTISHA NI ZILE ITIKADI ZA SIASA LAKINI TUNASHIRIKIANA KWA MAMBO YOTE YA KIJAMIII.
WANASIASA WACHENI KUTUPANDIKIZA HISIA ZENU...
Tena hawa Poly CCM hawatakiwi kujenga katika maeneo yetu wakajenge kwenye quoters za Polisi. Mimi sipendi kuwasikia kabisa na tena na sema wakikaidi kuondoka na wapigwe kabisa! Kama hawafuati maelekezo wapigwe tu!!!!!!!
----!
Wewe ulikuwa arusha na unathibitisha vipi kwamba cdm wamelikoroga?
Wakati bomu linalipuliwa wewe unahakikika kwamba kulikuwa na fujo?
Pumbavu kabisa!
MImi namwamini sana Mwigulu Nchemba tena ni Jemedari wetu wa CCM na hakika lazima sasa hivi atakuwa ameshatoa taarifa zake kwa Polisi, kwa sababu anuhakika nazo, nanyingine ametupa vibwagizwa kwenye mtandao, vivyo chadema kaeni mkao wa kufa 2013, chezea nchemba wewe!
Rwekatare amekamatwa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.