Search results

  1. djesco

    Nahitaji modem aina ya huawei e303

    Habari wakuu nahitaji modem aina ya huawei e303 ile ya kutumia dash-bord ya HI-LINK siitaki maana ama kama unayo iliyochakachuliwa niweze kutumia mitandao yote pia nitashukuru. Offer yangu ni tshs.15000 Napatikana Dar es salaam Nipigie ama text 0799404808 Asanteni
  2. djesco

    Wapi nitapata game ya euro truck simulator 2?

    Habari wanajamvi, Naipenda sana game ya EUROTRUCK SIMULATOR 2 ila hizi za ku-download naona antivirus yangu inakamata trojans ndani yake nataka kununua genuine,ni wapi nitapata!? Asanteni
  3. djesco

    Nauza dell optiplex 380 desktop compelte

    Nauza dell desktop aina ya optiplex 380 Ina sifa hizi; Hard disk 250 GB Memory 2 gb DVD combo Processor 3.0 Ghz dual core Pia ina sreen ya hp lcd inchi 15 Windows 7 Installed. Bei TSHS.180000/= maongezi yapo. Niko Dar es salaam, kwa anayehitaji nipigie simu:0673404808 au 0799404808
  4. djesco

    Kupotelewa na vyeti vya taaluma

    Habari wana jamvi jana usiku nilikuwa natoka gongo la mboto kwenda mbagala nilipanda UDA nikashuka saba saba karibu na Kipati,baada ya kushuka na kuvuka barabara kama dakika kumi baadae nikagundua kwamba nimesahau vyeti kwenye staff career, na mbaya zaidi kondakta hakutoa tiketi na namba ya gari...
  5. djesco

    Jamani nini chanzo cha michepuko?

    Naomba niingie moja kwa moja kwenye mada KAMA IFUATAVYO: Nimeoa na nina mke na mtoto mmoja, niko na mke wangu kwa miaka 6 sasa.Ni mtu ambaye tumetoka kijiji kimoja na shule tulisoma shule moja, maisha yetu ni ya kawaida tu ila tunapendana sana na kukwaruzana kupo kibinaadam,katika suala zima la...
  6. djesco

    Nauza laini ya uwakala wa M-PESA

    Habari wakuu. Nauza laini yangu ya uwakala wa M-PESA kwa bei ya tshs.180,000/=,ina document zote.Napatikana Dar es salaam.Bei inapungua.Kwa anayehitaji namba yangu ni 0719265606. Karibuni sana
  7. djesco

    Nauza laini ya uwakala wa tigopesa

    Wakuu nauza lain ya uwakala wa tigo pesa kwa bei ya tshs.350,000/=.Ukiwa wakala utaweza kusajili laini,kuuza vifurushi vya tigo pia kamisheni nzuri mwisho wa mwezi.Naiuza kwa sababu nahama kwenda mkoa mwingine.Nipo dar es salaam kwa anayehitaji nipigie 0719265606. Bei inapungua
  8. djesco

    Huawei ascend y300 inatakiwa

    Wakuu nahitaji simu tajwa hapo juu bajeti yangu ni tshs.90,000/=,ila naweza kuongeza kidogo. Mawasiliano 0654404707,niko dar es salaam.
  9. djesco

    Watangazaji waiponza Times FM

    Kituo cha Redio cha Times FM kimetozwa faini ya kulipa kiasi cha Shilingi milioni moja na kupewa onyo kali kutokana na kukiuka vifungu vya maadili na kanuni za utangazaji, vilivyopo katika leseni ya utangazaji inayotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Akisoma hukumu hiyo jijini...
  10. djesco

    Huawei y220 inauzwa

    Wakuu nauza simu tajwa hapo juu sifa zake ni; 3g network 256mb ram,512rom 3.5 mp camera os: v 2.3 gingerbread pia ina-support whatsapp,tango,viber,instagram etc. bei tsh.75000/- ila inapungua namba yangu 0654404707 nipo dar es salaam
  11. djesco

    laini ya tigopesa inauzwa

    wakuu nauza laini yangu ya uwakala wa tigopesa imesajiliwa dar es salaam kwa anayehitaji nipigie simu 0654404707.Bei in tshs.550,000/= ila maongezi yapo.
  12. djesco

    nauza adapta ya dell orijino

    habari wakuu nauza adapta yangu ya dell bei tshs.40000/=. napatikana dar es salaam.bei inapungua kama waitaka nipigie 0654404707.
  13. djesco

    laini ya uwakala ya tigopesa inauzwa

    heshima kwenu wakuu,nauza laini yangu ya uwakala wa tigopesa kwa bei ya tshs.550,000/= ila bei inapungua,mie niko dar es salaam.Kwa aliye tayari nitafute 0654404707 kwa maelezo zaidi.
  14. djesco

    Jipatie laini ya uwakala wa M-Pesa

    Habari wakuu nauza laini yangu ya uwakala wa M-Pesa bei tshs.180,000/= Bei inapungua kama wahitaji nipigie 0654404707 Nipo Dar es Salaam
  15. djesco

    laini ya m-pesa inauzwa

    habari wakuu nauza laini yangu ya uwakala wa vodacom m-pesa bei tshs.200,000/= tu!!!!!! bei inapungua.Kwa anayehitaji nicheck kwa namba 0654404707.napatikana dar es salaam.
  16. djesco

    Natafuta kijana wa kunisaidia kuuza duka

    Habari wakuu nimepata kibarua somewhere ila tayari nilikuwa na Duka langu dogo hivi asa siwezi kujigawa huku na huku so kama kuna kijana awe wa kike au kiume awe anajua hesabu vizuri. Pia awe anaishi maeneo ya vingunguti au buguruni au Kiwalani ili awe anawahi asubuhi saa moja kamili kama...
  17. djesco

    nauza adapta ya dell

    wakuu nauza adapta ya dell kwa bei ya tshs.35000/= nipo dar es salaam nitafute hapa 0654404707.
  18. djesco

    Nauza adapta ya dell orijino

    Habari wakuu laptop yangu ya dell dogo kaitia juisi imeungua asa nimeuza baadhi ya vitu vizima imebaki adapta.Naiuza kwa tshs.40000/= tu!!!!! Ni orijino kabisa kama waitaka nipigie simu 0654404707.napatikana dar es salaam na pia bei inapungua
  19. djesco

    nahitaji nokia ya tochi au samsung ya tochi

    Wakuu anayeuza nokia au samsung ya tochi ANIUZIE namaanisha hizi ndogo zenye uwezo wa kupiga,kupokea na kutuma sms nahitaji kwa ajili ya kuuzia vocha za kurusha.BAJETI YANGU TSHS.15000/= kama unayo nitext 0715404808 niko dar es salaam
  20. djesco

    Nauza laini ya uwakala wa airtel money

    Habari wakuu nauza laini yangu ya uwakala wa airtel money,bei tsh.100000/=,napatikana dar kama waitaka nipm
Back
Top Bottom