Habari wakuu nahitaji modem aina ya huawei e303 ile ya kutumia dash-bord ya HI-LINK siitaki maana ama kama unayo iliyochakachuliwa niweze kutumia mitandao yote pia nitashukuru.
Offer yangu ni tshs.15000
Napatikana Dar es salaam
Nipigie ama text 0799404808
Asanteni
Habari wanajamvi,
Naipenda sana game ya EUROTRUCK SIMULATOR 2 ila hizi za ku-download naona antivirus yangu inakamata trojans ndani yake nataka kununua genuine,ni wapi nitapata!? Asanteni
Nauza dell desktop aina ya optiplex 380
Ina sifa hizi;
Hard disk 250 GB
Memory 2 gb
DVD combo
Processor 3.0 Ghz dual core
Pia ina sreen ya hp lcd inchi 15
Windows 7 Installed.
Bei TSHS.180000/= maongezi yapo.
Niko Dar es salaam, kwa anayehitaji nipigie simu:0673404808 au 0799404808
Habari wana jamvi jana usiku nilikuwa natoka gongo la mboto kwenda mbagala nilipanda UDA nikashuka saba saba karibu na Kipati,baada ya kushuka na kuvuka barabara kama dakika kumi baadae nikagundua kwamba nimesahau vyeti kwenye staff career, na mbaya zaidi kondakta hakutoa tiketi na namba ya gari...
Naomba niingie moja kwa moja kwenye mada KAMA IFUATAVYO:
Nimeoa na nina mke na mtoto mmoja, niko na mke wangu kwa miaka 6 sasa.Ni mtu ambaye tumetoka kijiji kimoja na shule tulisoma shule moja, maisha yetu ni ya kawaida tu ila tunapendana sana na kukwaruzana kupo kibinaadam,katika suala zima la...
Habari wakuu.
Nauza laini yangu ya uwakala wa M-PESA kwa bei ya tshs.180,000/=,ina document zote.Napatikana Dar es salaam.Bei inapungua.Kwa anayehitaji namba yangu ni 0719265606.
Karibuni sana
Wakuu nauza lain ya uwakala wa tigo pesa kwa bei ya tshs.350,000/=.Ukiwa wakala utaweza kusajili laini,kuuza vifurushi vya tigo pia kamisheni nzuri mwisho wa mwezi.Naiuza kwa sababu nahama kwenda mkoa mwingine.Nipo dar es salaam kwa anayehitaji nipigie 0719265606.
Bei inapungua
Kituo cha Redio cha Times FM kimetozwa faini ya kulipa kiasi cha Shilingi milioni moja na kupewa onyo kali kutokana na kukiuka vifungu vya maadili na kanuni za utangazaji, vilivyopo katika leseni ya utangazaji inayotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Akisoma hukumu hiyo jijini...
Wakuu nauza simu tajwa hapo juu
sifa zake ni;
3g network
256mb ram,512rom
3.5 mp camera
os: v 2.3 gingerbread
pia ina-support whatsapp,tango,viber,instagram etc.
bei tsh.75000/- ila inapungua
namba yangu 0654404707
nipo dar es salaam
wakuu nauza laini yangu ya uwakala wa tigopesa imesajiliwa dar es salaam kwa anayehitaji nipigie simu 0654404707.Bei in tshs.550,000/= ila maongezi yapo.
heshima kwenu wakuu,nauza laini yangu ya uwakala wa tigopesa kwa bei ya tshs.550,000/= ila bei inapungua,mie niko dar es salaam.Kwa aliye tayari nitafute 0654404707 kwa maelezo zaidi.
habari wakuu nauza laini yangu ya uwakala wa vodacom m-pesa bei tshs.200,000/= tu!!!!!! bei inapungua.Kwa anayehitaji nicheck kwa namba 0654404707.napatikana dar es salaam.
Habari wakuu nimepata kibarua somewhere ila tayari nilikuwa na Duka langu dogo hivi asa siwezi kujigawa huku na huku so kama kuna kijana awe wa kike au kiume awe anajua hesabu vizuri.
Pia awe anaishi maeneo ya vingunguti au buguruni au Kiwalani ili awe anawahi asubuhi saa moja kamili kama...
Habari wakuu laptop yangu ya dell dogo kaitia juisi imeungua asa nimeuza baadhi ya vitu
vizima imebaki adapta.Naiuza kwa tshs.40000/= tu!!!!! Ni orijino kabisa kama waitaka nipigie simu 0654404707.napatikana dar es salaam na pia bei inapungua
Wakuu anayeuza nokia au samsung ya tochi ANIUZIE namaanisha hizi ndogo zenye uwezo wa kupiga,kupokea na kutuma sms nahitaji kwa ajili ya kuuzia vocha za kurusha.BAJETI YANGU TSHS.15000/= kama unayo nitext 0715404808 niko dar es salaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.