Mkuukiukweli kila mwanamke utakaemuoa alikuwa na mtu wake, mimi wakati nakutana na mama mtoto 2010 aliniambia kila kitu nikakubaliana nae ila hakuniambia kama kuna jamaa wa kijijini kwao ambae alikuwa nae na bado wako nae, miaka ikasonga hadi mwaka jana ndo mambo yalianza kubadilika nikajifanya...
Yote yanawezekana inawezekana mama mchungaji alitoa kidogodogo kwa maofisa wa NEMC sasa wamemgeuka ila sheria ni msumeno,inakula mebele na nyuma ngoja tusubiri tuone
tatizo shule kiongozi wao walijua wamepata ila ngoja baada ya muda fulani wataanza kulalama nyimbo hazipigwi,afu ni uonevu kodi ulipe serikalini,ulipe kodi ya pango, ulipe watangazaji,mafundi mitambo,n.k afu na nyimbo nazo ukipiga ulipie!? huu ni uonevu na wakikomaa vituo vingi vitashindwa...
mkuu uiadhibu radio kwa kosa gani!? yaani ukilazimishe kituo kipige nyimbo anazozitaka waziri!? kama kila siku wapige nyimbo za tz na sie wapenzi wa mayenu itakuwaje!? raha ya mziki uchanganye na haka ka-amri ka kumlipa msanii kila unapopiga wimbo wake redioni wala haitachukua muda tutaona...
Asa itazimwaje mkuu!? Inaonekana huajelewa vyema.Iko hivi kama simu yako juu jima lake ni Samsung ila ukiingiza zile imei number kwenye ile application ya tcra ikakwambia ni lg ama HTC hapo lazima izimwe so hii itawakumba sana wenye simu ambazo ni cloned
kiukweli Mkwere alishaona mambo hayaendi na kama hali ingeendelea kama ilivokuwa miaka mitano ijayo haki ya nani yale ya Burundi yangetuhusu maana watu walishachoka maana kila siku unasikia hela zimeibiwa afu watu wanabembelezwa kujiudhuru,asa mkwere akaona bora ampe kijiti Ngosha ili walau...
inaumiza sana sijui waafrika tumekosa nini kwa Mungu maana kila baya Afrika vita,njaa,maradhi,udikteta vyooote afrika yaani duh!? Bora walioishi kipindi cha ukoloni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.